kwenye uandishi wa habari kuna kitu kitu kinaitwa seven day theory...hivi au anejua anaweza kuni correct...
siku saba baada ya leo hii habari itakuwa haina nguvu....hata kama wakipelekwa mahakamani
hakuna atakaefuatilia hiyo kesi inaendaje.....sio kwa nguvu kama ya sasa....
hivi kesi ya mintanga kuna anaejua imeisha vipi?
ya jeetu patel?????