BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 979
- 2,671
Habari wanaJF
One way kwenye swali, yaani kidume unajikuta unaanzisha mazoea fulani na mwanamke kwa dhumuni la kumlia time ili umuapproach lakini katika harakati za mazoea hayo aisee manzi anaanza kukuita kaka yaani inakuwa kama ni defense mechanism fulani hivii.
Nahisi ili baadae ukapo kuja kumuapproach aje kusema "nilikuwa nakuona kama kaka yangu"
Sasa bandugu kama ulishawahi kukutokea hiyo situation uliwezaje kuipangua mpaka ukafanikiwa kuopoa manzi.
One way kwenye swali, yaani kidume unajikuta unaanzisha mazoea fulani na mwanamke kwa dhumuni la kumlia time ili umuapproach lakini katika harakati za mazoea hayo aisee manzi anaanza kukuita kaka yaani inakuwa kama ni defense mechanism fulani hivii.
Nahisi ili baadae ukapo kuja kumuapproach aje kusema "nilikuwa nakuona kama kaka yangu"
Sasa bandugu kama ulishawahi kukutokea hiyo situation uliwezaje kuipangua mpaka ukafanikiwa kuopoa manzi.