Ni vigezo gani vilitumika kuandikisha Watu wapewe Pesa za TASAF?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
4,208
14,137
Wakuu Wasalaam,


Ninauliza hivyo kwa sababu kila mwisho wa Mwezi kuna watu wanapanga mstari kupokea hizi pesa lakini hali zao za maisha tunazifahamu. Kimaisha wako vizuri na hawastahili kupokea hizi pesa.

Lakini watu ambao kweli wana hali mbaya na wanalea watoto ambao wazazi wao walikwisha fariki lakini hawapewi hizi pesa.

Je waliangalia vigezo gani maana ninavyojua huu mfuko ni kwa ajili ya kaya maskini.
 
Wakuu Wasalaam,


Ninauliza hivyo kwa sababu kila mwisho wa Mwezi kuna watu wanapanga mstari kupokea hizi pesa lakini hali zao za maisha tunazifahamu. Kimaisha wako vizuri na hawastahili kupokea hizi pesa.

Lakini watu ambao kweli wana hali mbaya na wanalea watoto ambao wazazi wao walikwisha fariki lakini hawapewi hizi pesa.

Je waliangalia vigezo gani maana ninavyojua huu mfuko ni kwa ajili ya kaya maskini.
Inaonekana Vigezo unavifahamu TSAF wataona lakini peleka Lalamiko ngazi inayostahili mfano Ngazi ya Wilaya wakikuzingua nenda Ngazi ya mkoa. Pesa inatakiwa kwenda kwa watu wanaostahili.
 
Back
Top Bottom