Pole ila kumbuka akianza kupata mashamsham nje ya ndoa usije tena kutuomba ushauri.
we ni mnene kwani?
Pole kwa uchovu
Andaa ratiba nzuri kuanzia asubuhi mpaka jioni na kila jambo ulitengee muda wake
Jitahidi utimize mahitaji ya ndoa usije m'boa mwenzio
muone daktari anayeitwa physiotherapist! Huo ni ugonjwa
Obvious utakua mwili umekuelemea,yani wewe ni kibonge!fanya mazoezi au kama vipi mapenzi hayana formula msikariri,jaribuni kutofanya mapenzi kwa mazoea kwamba eti lazima iwe muda wa kulala,mnaweza fanya asubuhi before hamjaanza maandalizi ya job,kila mtu ataenjoy!
au labda hisia zako kwake zimepungua?Mimi sio kibonge hata kidogo,mwanzoni hyo unayosema asubuhi ilikuwa kawaida lakin siku hizi ndio siwez ni kulala tu mpaka alam ya saa kumi na mbili ndio naamka
Tena kumi na moja mbona mapema sana tu.... you can make the guy happy banaAsante mkuu,nimeajiriwa,natoka nyumban saa moja narudi kumi na moja.
Ndo swali nililomuuliza mwanzo.tena mwanaume akiwa mpole ndio anakuwa unpredictable itafikia mahali haulizi kuhusu hio kitu saa hizo anapiga kimya kimya tu lol
,pia jaribu kumuona daktari nahisi utakuwa una hormonal imbalances
au labda hisia zako kwake zimepungua?
Ndo swali nililomuuliza mwanzo.
Akajiproud kuwa na mume mpole, anayejitahidi kuelewa.
Ni hatari
Huko kuelewa kwake we kuchoka deili kunaweza kuwa na maelezo
Try go check hormonal levels kama ulivoshauriwa.
progesterone, Estrogen,
Androgens (testosterone)
Thyroid hormones (T3, T4, TSH)
Pia usikubali kuwa unachoka, kiasi tu cha kuadmit ilo umekubali defeat.
Am afraid your husband could more than he seems to be in your eyes
hee we ni aje?
Take your pick mama,Tx kwa ushaur wako hapo juu,bt hapo mwisho umeharibu,ndio mwanzo wa kuogopeshana na kuanza kupandikiza hisia kuwa everyman cheats