Ni Tatizo au Kawaida

Wakanda2021

Member
Apr 27, 2013
70
8
Habari! Kuna hali ya kutokwa na vitu vyeupevyeupe ukeni hasa ninapokaribia period au nimalizapo na ktk kpnd hichi nikikutana na mme wng naviona kweny uume wake.Nilijaribu kwenda hospitali tofautitofati km Nne hv jibu naambiwa hiyo ni hali ya kawaida kwa mw'ke yyte. Naomba nipate jibu tn la uhakika kutoka kwenu wana jamvi la jf mana siipendi hii hali.
 
Habari! Kuna hali ya kutokwa na vitu vyeupevyeupe ukeni hasa ninapokaribia period au nimalizapo na ktk kpnd hichi nikikutana na mme wng naviona kweny uume wake.Nilijaribu kwenda hospitali tofautitofati km Nne hv jibu naambiwa hiyo ni hali ya kawaida kwa mw'ke yyte. Naomba nipate jibu tn la uhakika kutoka kwenu wana jamvi la jf mana siipendi hii hali.

Hata mm naweza kusema hivyo hivyo ni kawaida kwa mwanamke kuwa hivyo! Demu wangu pia anayo hiyo hali! Mambo mengine ni mifumo ndo inayoruhusu hali hiyo hivyo unaWeza kuwa huitaki lakini kutoa isiwezekane! Subiri hapo hapo wenyewe wanakuja kukujibu mama!
 
Wakati unapokaribia siku zako kwenye uke wako ph (tindikali/magadi) inaruhusu fungus aina ya amira (candida) kushamiri hivyo kuwa na huo uchafu mweupe, hali kadhalika baada ya hedhi zako kumiminika kwa damu kunafanya uke wako kubadilisha ph na kuruhusu candida kushamiri tena.
 
tatizo lako umeathiriwa na video/picha za ngono ambapo, kwalo hazina hicho unachokiita vitu vyeupe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom