johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Ukitaka kuiondoa CCM madarakani ni lazima kwanza uvunje urafiki wao na Katoliki
Kwa sababu kila lilipo Shina la Chama Tawala pana Jumuiya ya Katoliki na Hii haijapangwa ni mifumo imefanana kiasili
Jumaa kareem!
Kwa sababu kila lilipo Shina la Chama Tawala pana Jumuiya ya Katoliki na Hii haijapangwa ni mifumo imefanana kiasili
Jumaa kareem!