Ilikuwa miaka kumi na moja iliyopita.Nilifapata mtoto na dada mmoja sasa sikuwa na mipango ya kuoana nae, nae pia alinipotezea sababu dada zake walikuwa na uwezo mkubwa na wakamshauri kuwa mimi siyo future boy kwake wakaninyima hata kumuona mtoto.
Miaka imeenda Mungu mkubwa mambo yamebadilika dada wamekosa jinsi ya kumsaidia mwanangu nikaingia kwenye majukumu yangu.Shida ni kwamba alizaa mtoto mwingine na jamaa mwingine mpaka leo nikimuuliza ni nani hajawai kuniambia tatizo ni kwamba sababu anaona natimiza wajibu wangu kwa mwanangu na matatizo ya huyu mwingine ananiambia mara ada,anaumwa sijui nguo za shule za sikukuu.
Je hii ni sawa wadau?
Miaka imeenda Mungu mkubwa mambo yamebadilika dada wamekosa jinsi ya kumsaidia mwanangu nikaingia kwenye majukumu yangu.Shida ni kwamba alizaa mtoto mwingine na jamaa mwingine mpaka leo nikimuuliza ni nani hajawai kuniambia tatizo ni kwamba sababu anaona natimiza wajibu wangu kwa mwanangu na matatizo ya huyu mwingine ananiambia mara ada,anaumwa sijui nguo za shule za sikukuu.
Je hii ni sawa wadau?