Ni sawa kumwita mtu "mtukufu" ?

Ni sawa kumwita mtu "mtukufu" ?

bikira latifah

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
806
Reaction score
2,576
Naombeni kujuzwa nini maana ya "mtukufu"
Na mkinipa maana vile vile naombeni mnijuze ni sawa kumwita Bwanayule mtukufu?

Anautendea haki utukufu?
 
Kawaulize Catholic utapewa majibu. Utasikia Mara papa ana mamlaka
 
Anayelikubali jina hilo ndiye ametangaza ugomvi na mtukufu mwenyewe.Unaweza kumkandamiza mtu kwa mamlaka na uwezo ulio nao na akawa hana kabisa uwezo wa kujitetea,basi akafika mahali akaona akuite mungu nisamehe,ee mtukufu!Wewe unayeambiwa maombi hayo kwa kiburi ukaukubali utukufu huo,Mungu atakishusha kiburi chako bila shaka.Kuna siku utasikia maumivu halisi na malipo ya maonevu uliyofanya yatakurudi.Mungu ataliinua jina lake dhidi yako,maana hakuna aliye mtukufu zaidi yake.Mwl Nyerere mzee wa watu alilikataa jina hilo na hakuwa mtu wa kiburi na kujikweza.
 
Jokolilo anapenda sana sifa, hilo jina akilisikia atacheka kile kicheko chake cha kujilazimisha kama baboon anakula mahindi
 
Si sawa ila kwa awamu hii ya nchi ya kufikirika wapo walio jiita hata Mungu kwa hiyo tuwaachie dhambi zao ziwe juu ya vuchwa vyao na watoto wao.
 
Back
Top Bottom