Sawa ndugu mahali hajatoa ila kamnunulia smart phone, inatosha kutoa style zote mahali ni taratibu tu za kukamilisha ndoa, but they consume more....!!!Ushasema ni mchepuko/mpenzi huna mamlaka ya kumpangia utakavyo wewe hata sh 10 ya mahari hujatoa unabinua watoto wa watu looo
Oa mkeo umbinue utakavyo period