Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Habari wanajamvi, tangia dakika 90 ziishe (Simba 0_Yanga 1) nimebaini kupitia mashabiki kindaki ndaki wa timu hizi yakuwa ni raha sana kumfunga mtani ikiwezekana nje ndani yaani 1st & 2nd round kuliko kuchukua kombe la ligi(Vpl).
Utafiti huu umehusisha wapenzi wa SSC na Young Africans, nikimaanisha watani wa jadi wa timu za Bongo,sio shabiki,tuelewane sio shabiki,hii scenario ni kwa wapenzi wa hizi timu,wewe kama umeanza kuifatilia Simba au Yanga kwa kumuona mjomba wako anashabikia huwezi kunielewa kwenye hili.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1841193
Utafiti huu umehusisha wapenzi wa SSC na Young Africans, nikimaanisha watani wa jadi wa timu za Bongo,sio shabiki,tuelewane sio shabiki,hii scenario ni kwa wapenzi wa hizi timu,wewe kama umeanza kuifatilia Simba au Yanga kwa kumuona mjomba wako anashabikia huwezi kunielewa kwenye hili.
Naomba kuwasilisha.
View attachment 1841193