Ni nini itakuwa tiba .....

Ni nini itakuwa tiba .....

Joined
May 28, 2013
Posts
91
Reaction score
17
Ni nini itakuwa tiba sahihi ya kansa hiimiongoni mwa viongozi wengi wa Kiafrika wanaolazimisha kwamba upinzani ni uhaini??????
 
ukishajua chama tawala ni kirusi hatari...
ujue wapinzani ni magonjwa nyemelezi.
 
ni sawa sawa na kuamini kuwa kutaka kugombea nafasi ya uenyekiti ni usaliti
 
Back
Top Bottom