Ni nini anatafuta huyu mke mwenza?

Ni nini anatafuta huyu mke mwenza?

ney1

Member
Joined
Dec 1, 2014
Posts
25
Reaction score
6
Tumuite jina A alizaa na jamaa kabla ya hapo alichumbiwa wakatambulishana kwa wazazi pande zote 2 mahali nusu ukatoka ndoa ilikua iwe last year may. A kapata ujauzito kabla ndoa mzazi wa mwanaume mchungaji kagoma kufungisha ndoa mjamzito mpaka ajifungue, kumbe wakati A anachumbiwa kuna mwanamke mwingine anatembea na jamaa badae nae akapata ujauzito wakapishana miez 2 tu na A.

Wameenda A wakakosana na mchumba wake yule mwanamke mwingine kajifungua kwanza kabla ya A, jamaa akarudisha majeshi kwa huyo mwanamke japo hawaishi pamoja lakini ni wapenzi cha ajabu jamaa anamtaka tena A baada ya miez 6 ya kujifungua anamtaka warudiane ila wasifunge ndoa waishi tu kumbe jamaa anakula huku na huku.

Kwani A anaishi mkoa mwingine ajabu juzi huyu mwanamke mwingine kamtafuta A Fb na kumwambia anataka waonane waongee yupo tayari kumwachia mwanaume japo anampendasana ila yupo tayari kumwachia mwanaume na anamsisitiza waonane A anashangaa hamwelewi huyo mwanamke analengo gani? Au kweli akubali kuonana nae.
 
Ya moto ya moto aa mapenzi
mapenzi ya kitoto ya kitoto mie siwezi.

Wamekutana na dume la mbegu ila kikwetu alietambulishwa na kutolewa mahari ndiye mke.
Lakini mwanaume wa kumgombania ni kujitafutia mateso hadi akajuta kuolewa.
 
Let a=x
b=y
Find th value of x and b. Hesabu naona zilipita kushoto mtoa uzi. Zingatia kanuni za kulet
 
Nadhani si jambo baya ikiwa wataonana..kama huyo A (sijui B tena!) angekuwa na nia mbaya asingempa taarifa ya kutaka waonane bali angemuwinda kimya kimya

Pili kitendo cha kusema ingawa anampenda sana jamaa still yupo tayari kumwachia mwenzake inaonyesha ni mtu mkweli, asiyeogopa kuusema ukweli na anayeongozwa na kichwa kwenye masuala yanayohusu moyo!!

Kuna watu ambao huwa tunaamini kuwa through talking a solution can always be reached sasa ni kuwa huyu dada naye anaamini akikaa na A (B?) basi muafaka utapatikana

so usiogope, nenda tu muonane..labda akikwambia mkutane saa nane usiku mkiwa peke yenu maeneo ya makaburini...hapo kimbia kama usain bolt asije akakufanya kitu Manny Pacquiao atamfanya Januaryweather
 
Wanawake bana

Mnafirigiswa huku na huku bado.mmeng'ang'ana na huyo mwanaume anayewachanganya
 
Back
Top Bottom