bwana eeee, mastaa hao bana wa sinza!
Labda kwenye muziki atakuwa anamfahamu t.i.d na lady jd, na habari ni mhudini michuzi na safu za viongozi wa nchi hii ni jakaya tu!!. Kwa upande wa vyuo nadhan itakuwa ni ifm tu....
kumbi za starehe ni BILLZ kama hajataja na hapo Diamond JUbileee (!!!)