meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Hili ni swali muhimu sana na pia ni kipimo cha kujua kama mfumo umebadilika au la?
Tulishuhudia kelele nyingi humu JF,wizarani n.k juu ya utendaji mbovu na ama ufisadi na unadhirifu wa mama huyu hasa kuanzia miaka ya 2012.
Nikategemea kuwa mama huyu asingeweza kamwe kupewa fursa katika Serikali ya Magufuli lakini kwa mshangao akapewa Uwenyekiti wa bodi ya shirika la Nyumba.
Sisi wasema mbovu wa JF tukashshuliwa na mamlaka za uteuzi ...mafisadi yakachekelea huku wapinzani ambao walishajinajisi na ufisadi wakabaki kimya wasijue la kufanya.
Leo hii mama huyu katumbuliwa kabla hakujakucha vizuri ...tunashangilia sana ila kwa sisi wengine tunajiuliza swali muhimu sana kwani hatuna uhakika kama huu ndio mtumbuo wake wa mwisho au atapata fursa nyingine ya uteuzi ?
Je ni nani aliyempendekeza mama huyu kuteuliwa kipindi hiki cha Magufuli ilihali alishachafuka vilivyo hadi waziri mkuu Pinda akampiga chini?
Je ni nguvu ya Chama cha mapinduzi?
Je ni nguvu ya key players wa ufisadi nchini?
Nilimsikia mheshimiwa Rais akijiuliza kuwa inawezekana na yeye ajiangalie katika uteuzi kama anakuwa sahihi...mimi nashauri AANGALIE ZAIDI KWENYE UTEUZI WA ANAYEMPELEKEA MAPENDEKEZO YA UTEUZI!!
Tulishuhudia kelele nyingi humu JF,wizarani n.k juu ya utendaji mbovu na ama ufisadi na unadhirifu wa mama huyu hasa kuanzia miaka ya 2012.
Nikategemea kuwa mama huyu asingeweza kamwe kupewa fursa katika Serikali ya Magufuli lakini kwa mshangao akapewa Uwenyekiti wa bodi ya shirika la Nyumba.
Sisi wasema mbovu wa JF tukashshuliwa na mamlaka za uteuzi ...mafisadi yakachekelea huku wapinzani ambao walishajinajisi na ufisadi wakabaki kimya wasijue la kufanya.
Leo hii mama huyu katumbuliwa kabla hakujakucha vizuri ...tunashangilia sana ila kwa sisi wengine tunajiuliza swali muhimu sana kwani hatuna uhakika kama huu ndio mtumbuo wake wa mwisho au atapata fursa nyingine ya uteuzi ?
Je ni nani aliyempendekeza mama huyu kuteuliwa kipindi hiki cha Magufuli ilihali alishachafuka vilivyo hadi waziri mkuu Pinda akampiga chini?
Je ni nguvu ya Chama cha mapinduzi?
Je ni nguvu ya key players wa ufisadi nchini?
Nilimsikia mheshimiwa Rais akijiuliza kuwa inawezekana na yeye ajiangalie katika uteuzi kama anakuwa sahihi...mimi nashauri AANGALIE ZAIDI KWENYE UTEUZI WA ANAYEMPELEKEA MAPENDEKEZO YA UTEUZI!!