Ninachokiamini mimi ni kwamba ukishafanya uamuzi wa kuoa....hakuna mwanamke mwingine zaidi ya huyo uliyemwamini na kumweka ndani (mkeo)...hizo nyingine zote ni tamaa za mwili tuu.. Ila nafasi ya mke wako iache pale pale na usimlinganishe na wanawake wengine kwa namna yoyote ile. Play smart boy!
Ni gan mkuu!!
Hahahaha mkuu hapo umetishafanya ku fake kifo chako afu potea mjini
wwe.chenga kamzidi mke wako kwa uzuri?dah ngongo ngono Leo mke Mbaya sna kisura au tabia mkuu?Habari za weekend wana MMU. Natumai uko salama.
Mimi ni kijana mjasiriamali, nafanya shughuli zangu binafsi. Katika pitapita zangu mnamo 27/2/2016 nilianza mahusiano na binti mmoja ambae kwa hakika Mimi ndie mwanaume wake wa kwanza (yaani alikuwa bikra). Mahusiano yetu yalienda vizuri sana na alifurahia mapenzi kwa kuwa ndio alikuwa anaanza na kama mnavyojua sisi wanaume tunapopata mali mpya, makeke kibao....
Basi kwa kipindi chote hakuwahi kufahamu kuwa mimi Nina mke. Ofcourse nilimficha coz nilihisi asingekubali kuwa na mimi na binti ni mzuri sana kushinda mke wangu.
Sasa tatizo linapokuja binti kashanitambulisha kwao kuwa Mimi ndio mumewe na matarajio yake nimwoe afu mimi Nina mke na mtoto na mke wangu ni mjamzito na binti hajui chochote mpaka sasa.
Najaribu kumwacha lakini tamaa ya uzuri wake nashindwa ukiangalia me ndo mwanaume nilie mwingiza ktk Ulimwengu wa mapenzi basi nabaki kudata.
Nisaidieni ushauri wandugu..
kapanda ngono unafikii.atavuna nn?sipendi mwanaume muongo mm, utavuna ulichopanda.
luck never come.twice mkuuNdugu umekanyaga siko! Damu ya bikra kali!!! Chochote utakachofanya ombea asikulaani.
Unamtoboa dada wa watu akati una mke!!! Ukute alikubali masikini akijua kajiopolea mume kumbe walewale wapoteza mda. Si ungechezea walio used..!
We unafikiri unauwezo zaidi watu wote au pengine unakula bure nini..Mtu aliye na akili timamu hawez shindwa kufanya maamuz ktk masuala madg km hayo, nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikir
Safi mkuu nimekupataushauri gani unataka hapa mkuu saidjamali? km wewe ni muislamu kwa kutizama jina si umuoe km mke wa pili?au km mkristo na umefunga ndoa amua tu kubaki njia kuu,all in all pima kati ya ndoa yako na huo mchepuko wako kipi ni muhimu kwenye maisha yako?ukishajua amua mwenyewe kimya kimya manake ata tukikushauri hivi hatuna uhakika km utatenda sawa sawa na ushauri wetu.
Swali zuri mkuu unajua sisi wanaume tumeumbwa na tamaa hata nilipochukua uamuzi wa kuoa mke wangu nilimwona mzuri kupita kiasi na kama unavyojua watoto wazuri kila siku wanazidi so kwa mtoto yule daaah mke kafunikwa kwa uzuriwwe.chenga kamzidi mke wako kwa uzuri?dah ngongo ngono Leo mke Mbaya sna kisura au tabia mkuu?
Habari za weekend wana MMU. Natumai uko salama.
Mimi ni kijana mjasiriamali, nafanya shughuli zangu binafsi. Katika pitapita zangu mnamo 27/2/2016 nilianza mahusiano na binti mmoja ambae kwa hakika Mimi ndie mwanaume wake wa kwanza (yaani alikuwa bikra). Mahusiano yetu yalienda vizuri sana na alifurahia mapenzi kwa kuwa ndio alikuwa anaanza na kama mnavyojua sisi wanaume tunapopata mali mpya, makeke kibao....
Basi kwa kipindi chote hakuwahi kufahamu kuwa mimi Nina mke. Ofcourse nilimficha coz nilihisi asingekubali kuwa na mimi na binti ni mzuri sana kushinda mke wangu.
Sasa tatizo linapokuja binti kashanitambulisha kwao kuwa Mimi ndio mumewe na matarajio yake nimwoe afu mimi Nina mke na mtoto na mke wangu ni mjamzito na binti hajui chochote mpaka sasa.
Najaribu kumwacha lakini tamaa ya uzuri wake nashindwa ukiangalia me ndo mwanaume nilie mwingiza ktk Ulimwengu wa mapenzi basi nabaki kudata.
Nisaidieni ushauri wandugu..