Ni muda wa kuvuna mlichopanda

Ni muda wa kuvuna mlichopanda

albab

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2018
Posts
2,000
Reaction score
3,395
Alipewa safari kwenda waja leo kwa makusudi kabisaaa tai wakasema huyu hafai tumalizane nae akiwa huko mliowategemea MO29 wakatumia kitabu kumhalalisha na baada ya kuhalilishwa akala kichwa cha tai mkubwa baada ya kuambiwa yeye ndie alitaka asihalalishwe.... KIKO WAPI

Wananchi wakashangilia.... kilichofanywa na waliotegemewa kwenye MO29 kikaonekana cha kishujaa wakidai tai wote walikosea kuona mbali... Tai wakapuuzwa na wao wakakubali mana hawana pa kusemea MO29 wakasifiwa sanaa wakaonekana watunza kitabu.

Kiko wapi leo... TAI WALIONA HILI WAKATAKA KUFANYA YAO ILI WAUE NDEGE WAWILI KWA JIWE MOJA MIAKA 4 LEO JAHAZI LINAMATOBO


TULIWAPUUZA NA TULISAHAU AKIHALALISHWA TAI WANAJUKUMU LA KULINDA IMA MZURI AU MBAYA. WANATIMIZA JUKUMU LAO SASA. MLIOWATEGEMEA KWENYE MO29 NDIO WALIOMUWEKA MNATAKA NINI??

Story ya kusadikika hiii haina uhalisia na haihusiani na yeyote na chochote na majina yalitumika yabaki katika uhalisia wake. TAFSIRI YA ZIADA HAIHUSINI NA HABARI HII.
 
TULIWAPUUZA NA TULISAHAU AKIHALALISHWA TAI WANAJUKUMU LA KULINDA IMA MZURI AU MBAYA. WANATIMIZA JUKUMU LAO SASA. MLIOWATEGEMEA KWENYE MO29 NDIO WALIOMUWEKA MNATAKA NINI??
Hao tai wako, wako Kobazilized ndo maana hawawezi kuona mbali wala kuruka juu ya mawingu kama ilivyo kawaida ya hai 🚮🚮🚮

20251106_181154.png
 
Tai wamekua wapumbavu sana wameluhusu mambo ya ovyo
 
Ngosha mkuu wa mabaka aliliwa kichwa coz bi unguja alijua yeye ndio alitaka kumbania kupewa urithi baada ya baba wa familia kuaga dunia ..!!

Bila kujua wamechonga kinyago sasa kinawatisha wenyewe.
 
Hivi siku hizi unasoma mitandao ya kijamii au wewe ni whisky , whisky na wewe?
Reminder.
Vision 2050 ni danganya toto, nani atakuwepo dubiani. Vijana wanataka rapid results.
By 2050 kila kitu kitakua kimeuzwa.
 
Back
Top Bottom