Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,508
- 19,337
aidha tunyang'anye lile jina hao watoto wetu hawalitendei haki, la Serengeti Stars, au kilimanjaro stars, au Ngorongoro Stars. kwisha. kama facebook wanabadilisha majina, sisi ambao hata hatujulikani na dunia yote tunaogopa nini.Tujiite MBWA MWITU au THE WILD DOGS...
Hawa mbwa wakiwa wengi wanakukula kabla hujafa....sio simba wala nani, wakikulalia vizuri una wakati mgumu sema timu yetu mdbwedo, urojo litatufaa pia
Mimi niliacha kumjibu nikaona nahangaika na mjinga tu. Bora umesaidia kujibu mkuu..Taifa Stars mpaka akina Mecky Sadick nao viongoziNchi zote zina nickname hadi hizo za ulaya, na America.
-Brazil wanaitwa Selecao
-Ujerumani wanaitwa Die Manschaft
-Uingereza Three lions etc
Taifa stars ni jina zuri ila Team za Vijana zina majina yenye identity zaidi kama Serengeti Boys, ama Nyengine kama wadada Twiga stars na timu ya Bara kilimanjaro stars.
Usifikirie jina kama kiwango, jina ni identity na pia ni opportunity kuitangaza Nchi, hasa kwa kitu ambacho ni unique kwa nchi husika. Imagine unafuzu mataifa Africa ama Kombe la dunia na Timu inaitwa Kilimanjaro stars, unafikiri watu watakuwa na Doubt tena Mlima kilimanjaro upo Tanzania ama kenya?
Nchi nyingi za Kiafrica wanatangaza vitu unique vya kwao, Egpty na Farao, Angola na swala wao, Nigeria na Tai, Morocco na simba, Senegal na simba pia etc.
Mmekutana wanachademavwote😀Nimekuuliza umri wako unakimbia! Nimekukumbusha tu kuwa hili jambo lilikuwepo tokea kipindi cha FAT sijui kama ulishakuja duniani. Hili jina Taifa Stars lina maana gani kwa upande wako?
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Mmekutana wanachadema wote😀Ni kwa namna gani jina litatusaidia kupata matokeo!? Nifafanulie
Eti Brazil.....hatari na nusu😂😂😂😂Umewaza ovyo sana, mpira ni mchezo wa wazi, tatizo la team yetu ni la kisaikolojia na kiufundi zaidi. Jina hata mkijiita Brazil haitawasaidia.
Tuna tatizo kubwa kuliko hata hilo jina Mkuu, hata tujeite tembo bado tutabakia na hali yetuTimu yetu ya Tanzania ambayo inajumuisha Bara na Visiwani.... Feitoto inapitia kipindi kigumu sana. Ukiangalia karibu nchi nyingi za Afrika timu zao zina majina ya tofauti.
Mfano Rwanda ama Msumbiji kuna Amavubi na Mamba.
Sisi huku ni Taifa Stars... hakuna hata nembo inayowakilisha nchi yetu. Nigeria wanajiita Tai na wanaye hasa Tai.
Ni muda sasa wa kuachana na jina la Taifa Stars na kutafuta jina jipya huenda kutakuwa na mafanikio.
Wewe ndio mjinga.Mimi niliacha kumjibu nikaona nahangaika na mjinga tu. Bora umesaidia kujibu mkuu..Taifa Stars mpaka akina Mecky Sadick nao viongozi
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Huyu anadai wakibadilisha jina huenda kukawa na mafanikio.....naamini jina halileti matokeo,nakubaliana na wewe hapo katika kuitangaza nchi kwa vivutio vyake.Nchi zote zina nickname hadi hizo za ulaya, na America.
-Brazil wanaitwa Selecao
-Ujerumani wanaitwa Die Manschaft
-Uingereza Three lions etc
Taifa stars ni jina zuri ila Team za Vijana zina majina yenye identity zaidi kama Serengeti Boys, ama Nyengine kama wadada Twiga stars na timu ya Bara kilimanjaro stars.
Usifikirie jina kama kiwango, jina ni identity na pia ni opportunity kuitangaza Nchi, hasa kwa kitu ambacho ni unique kwa nchi husika. Imagine unafuzu mataifa Africa ama Kombe la dunia na Timu inaitwa Kilimanjaro stars, unafikiri watu watakuwa na Doubt tena Mlima kilimanjaro upo Tanzania ama kenya?
Nchi nyingi za Kiafrica wanatangaza vitu unique vya kwao, Egpty na Farao, Angola na swala wao, Nigeria na Tai, Morocco na simba, Senegal na simba pia etc.