MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 423
- 434
Habari jamani pole na majukumu na mchakamchaka wa mvua kwa watu wa Dar. Niende kwenye mada hivi ni mimi au mpo na wenzangu wenye tabia kama yangu ya kutohonga ama kutoa pesa za huduma awali?
Kwa mimi nina tabia moja hivi kama nimempenda ama kumtamani msichana basi ntamwambia na suala la pesa kabla zipu zijafungua huwa nakuwa mgumu sana kutoa hela
Ila kama nimewahi ku sex na mdada ikija siku tumeachana akiniomba pesa huwa nakuwa mwepesi sana kutoa hela? Kuna siku niliwahi kumpa e- wangu laki alikuwa na issues zake. Jana tuu kuna manzi hapa street naye aliniomba elfu sabini nilimpa
Je, kwako ipoje? Share experiences yako
Kwa mimi nina tabia moja hivi kama nimempenda ama kumtamani msichana basi ntamwambia na suala la pesa kabla zipu zijafungua huwa nakuwa mgumu sana kutoa hela
Ila kama nimewahi ku sex na mdada ikija siku tumeachana akiniomba pesa huwa nakuwa mwepesi sana kutoa hela? Kuna siku niliwahi kumpa e- wangu laki alikuwa na issues zake. Jana tuu kuna manzi hapa street naye aliniomba elfu sabini nilimpa
Je, kwako ipoje? Share experiences yako