Muda huu nasikia vishindo vya juu sana kutokea kama maeneo ya ubungo au kimara. naomba mnijuze ni nini kinachojiri?
Mitambo ya Tanesco Ubungo imelipuka na umeme Tanzania umekatika.Muda huu nasikia vishindo vya juu sana kutokea kama maeneo ya ubungo au kimara. naomba mnijuze ni nini kinachojiri?
Its true for what I saw herer M/MmojaViongozi goigoi wanasheherekea kigoigoi tu!!