Ni matusi kwa intelijensia ya nchi kwamba kuna mteule wa Rais ambaye alighushi vyeti vya Elimu

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
Ni matusi mazito kwa intelijensia ya nchi kwamba kuna mteule wa Rais ambaye alighushi vyeti vya Elimu, kitendo ambacho ni kosa la jinai.
Tunatambua kuwa Viongozi ni kioo cha jamii. Wao ndio taswira ya jamii yetu, na ndio haswa wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa matendo yao katika maisha yao ya kila siku.

Kwa hivyo ingependeza viongozi wawe watu safi na makini, Ili watoto wetu wajifunze kwao. Lakini pia waweze kuwa na ushawishi kwa watu wa aina zote, wazee, vijana, watoto, wasomi, wajinga na wanafunzi. Ndio kusema kuwa, vyombo vya kiintelijensia (intelligence body) vina wajibu wa kumjua mtu kiunaga ubaga kabla ya kupata nafasi kubwa ya uongozi. Ile dhana ya kwamba Rais ni taasisi, isisahauliwe linapkokuja suala la Rais kuteua viongozi, ni lazima kuhusisha intelligence body/Body intelligence, katika kujua taarifa muhimu za hao wateule.

Sasa inapotokea Rais anateua cheti feki cha Elimu, wakati ni kosa la jinai ujue kwamba kuna shida katika 'body intelligence'; kwamba hiyo body ni 'incompetent' au imepuuzwa!!!, moja wapo ni sahihi.

Hata hivyo, kwa kutambua umasikini wa kimfumo katika shughuri za vyombo vyetu vya dola, ambavyo vimewezeshwa zaidi kudhibiti kuliko kuhudumia, tunaweza kuwasamehe. Lakini baada ya watu wengine kuibua kashfa za vyeti feki, halafu intelijensia zipo bize kukamata wabunge, that's shame and unforgivable.

Itoshe tu kusema kuwa kwa sakata hili la vyeti feki vya DAUDI, intelligence imetukanwa.
 
Ni matusi mazito kwa intelijensia ya nchi kwamba kuna mteule wa Rais ambaye alighushi vyeti vya Elimu, kitendo ambacho ni kosa la jinai.
Tunatambua kuwa Viongozi ni kioo cha jamii. Wao ndio taswira ya jamii yetu, na ndio haswa wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa matendo yao katika maisha yao ya kila siku.

Kwa hivyo ingependeza viongozi wawe watu safi na makini, Ili watoto wetu wajifunze kwao. Lakini pia waweze kuwa na ushawishi kwa watu wa aina zote, wazee, vijana, watoto, wasomi, wajinga na wanafunzi. Ndio kusema kuwa, vyombo vya kiintelijensia (intelligence body) vina wajibu wa kumjua mtu kiunaga ubaga kabla ya kupata nafasi kubwa ya uongozi. Ile dhana ya kwamba Rais ni taasisi, isisahauliwe linapkokuja suala la Rais kuteua viongozi, ni lazima kuhusisha intelligence body/Body intelligence, katika kujua taarifa muhimu za hao wateule.

Sasa inapotokea Rais anateua cheti feki cha Elimu, wakati ni kosa la jinai ujue kwamba kuna shida katika 'body intelligence'; kwamba hiyo body ni 'incompetent' au imepuuzwa!!!, moja wapo ni sahihi.

Hata hivyo, kwa kutambua umasikini wa kimfumo katika shughuri za vyombo vyetu vya dola, ambavyo vimewezeshwa zaidi kudhibiti kuliko kuhudumia, tunaweza kuwasamehe. Lakini baada ya watu wengine kuibua kashfa za vyeti feki, halafu intelijensia zipo bize kukamata wabunge, that's shame and unforgivable.

Itoshe tu kusema kuwa kwa sakata hili la vyeti feki vya DAUDI, intelligence imetukanwa.


Nani amethibitisha uongo huo mnaousambaza?

Kikaratasi cha juzi?

Hata akili za kutunga uongo hamna, halafu mnajiita eti wasomi.

Mnakuja na uongo ambao haujaenda shule, yaani hata kujaribu uwe karibu na ukweli hamuwezi. Yaani ile wataalamu wakiona wanasema hii tachukua muda, sio mtu akiangalia tu sekunde moja tu anacheka kwa akili finyu iliyotumika haswa ya msomi eti div 1* ha ha ha haaaaa

Kudanganya si lala lala, ni kutumia akili. Nye wafata mkumbo hammo humo, kwa sababu mnavyutwa zaidi kama sijui watu hamfikirii or nini

Hadi mnatia aibu nchi yetu.

Makonda oyeeee
 
Nasikia vitumbua kadhaa vimeingia mchanga.

Ni swala la muda tu, hata aliyevinunua naye atatakiwa aeleze hela alitoa wapi
 
Ni matusi mazito kwa intelijensia ya nchi kwamba kuna mteule wa Rais ambaye alighushi vyeti vya Elimu, kitendo ambacho ni kosa la jinai.
Tunatambua kuwa Viongozi ni kioo cha jamii. Wao ndio taswira ya jamii yetu, na ndio haswa wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa matendo yao katika maisha yao ya kila siku.

Kwa hivyo ingependeza viongozi wawe watu safi na makini, Ili watoto wetu wajifunze kwao. Lakini pia waweze kuwa na ushawishi kwa watu wa aina zote, wazee, vijana, watoto, wasomi, wajinga na wanafunzi. Ndio kusema kuwa, vyombo vya kiintelijensia (intelligence body) vina wajibu wa kumjua mtu kiunaga ubaga kabla ya kupata nafasi kubwa ya uongozi. Ile dhana ya kwamba Rais ni taasisi, isisahauliwe linapkokuja suala la Rais kuteua viongozi, ni lazima kuhusisha intelligence body/Body intelligence, katika kujua taarifa muhimu za hao wateule.

Sasa inapotokea Rais anateua cheti feki cha Elimu, wakati ni kosa la jinai ujue kwamba kuna shida katika 'body intelligence'; kwamba hiyo body ni 'incompetent' au imepuuzwa!!!, moja wapo ni sahihi.

Hata hivyo, kwa kutambua umasikini wa kimfumo katika shughuri za vyombo vyetu vya dola, ambavyo vimewezeshwa zaidi kudhibiti kuliko kuhudumia, tunaweza kuwasamehe. Lakini baada ya watu wengine kuibua kashfa za vyeti feki, halafu intelijensia zipo bize kukamata wabunge, that's shame and unforgivable.

Itoshe tu kusema kuwa kwa sakata hili la vyeti feki vya DAUDI, intelligence imetukanwa.

Inaonekana sasa mnaanza kujiingiza wenyewe, kwenye eneo la 18.
 
Nani amethibitisha uongo huo mnaousambaza?

Kikaratasi cha juzi?

Hata akili za kutunga uongo hamna, halafu mnajiita eti wasomi.

Mnakuja na uongo ambao haujaenda shule, yaani hata kujaribu uwe karibu na ukweli hamuwezi. Yaani ile wataalamu wakiona wanasema hii tachukua muda, sio mtu akiangalia tu sekunde moja tu anacheka kwa akili finyu iliyotumika haswa ya msomi eti div 1* ha ha ha haaaaa

Kudanganya si lala lala, ni kutumia akili. Nye wafata mkumbo hammo humo, kwa sababu mnavyutwa zaidi kama sijui watu hamfikirii or nini

Hadi mnatia aibu nchi yetu.

Makonda oyeeee
"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana,siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu".Mwl Nyerere 1982
 
Nani amethibitisha uongo huo mnaousambaza?

Kikaratasi cha juzi?

Hata akili za kutunga uongo hamna, halafu mnajiita eti wasomi.

Mnakuja na uongo ambao haujaenda shule, yaani hata kujaribu uwe karibu na ukweli hamuwezi. Yaani ile wataalamu wakiona wanasema hii tachukua muda, sio mtu akiangalia tu sekunde moja tu anacheka kwa akili finyu iliyotumika haswa ya msomi eti div 1* ha ha ha haaaaa

Kudanganya si lala lala, ni kutumia akili. Nye wafata mkumbo hammo humo, kwa sababu mnavyutwa zaidi kama sijui watu hamfikirii or nini

Hadi mnatia aibu nchi yetu.

Makonda oyeeee
Na wewe utakuwa ulipiga fafafafafa ndio maana unamtetea fafafafafa mwenzio, yote yana mwisho. Watu wengine wamefungwa, wengine wamefukuzwa kazi kisa vyeti feki ila yeye kwa kuwa anaonekana special anaendelea kukalia kiti asichostahili. Karma will strike back someday.
 
Na wewe utakuwa ulipiga fafafafafa ndio maana unamtetea fafafafafa mwenzio, yote yana mwisho. Watu wengine wamefungwa, wengine wamefukuzwa kazi kisa vyeti feki ile yeye kwa kuwa ni anaonekana special anaendelea kukalia kiti asichostahili. Karma will strike back someday.
hahaha
 
Ni tusi la nguoni kwa majigambo yetu kuhusu utawala bora na utii sheria !!!!!
 
Huyo wa tabora nae amenipa shaka kidogo jamhuri haikuhoji vizuri alifaulu daraja gani na kusoma habari miaka miwili wapi
 
Nakumbuka kipindi fulani nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wakisahiliwa kuwania nafasi za jeshi baada ya kuhitimu chuo. Tulitakiwa tuje na vyeti vya kuhitimu primary na secondary yaani leaving certificates ili wathibitishe uhalali wa elimu ya mtahiniwa na uzawa wake kama kweli ni raia halali wa Tanzania!
Ilikuwa mbilinge kwelikweli uzuri makabrasha yote nilikuwa nayo full masnondo majina halali mwanzo mwisho sio kama bashite mara makonda...
Sakata la vyeti feki vya Daudi limenifanya nifikirie upya interview ile kwamba iweje kuwepo na uzembe katika uteuzi wa nafasi ya mkuu wa mkoa wadhifa ambao ni mkubwa kuliko Mwanajeshi mwenye cheo cha nyota tatu??? make nijuavyo mimi Bashite akikutana na mjeshi mwenye nyota3 lazima apigiwe saluti.

Kosa kubwa lipo kwenye katiba yetu ya nchi kuruhusu teuzi za Rais kwa mahaba ya kisiasa,kurudisha fadhila au kwa masrahi binafsi kama ilivyo kwa huyu bashite na magu.
Anyway muda ndo mwalimu kuu, ipo siku zama hizi nazo zitapita. Ila Magufuli Mungu anakuona.
 
Let us agree to disagree.Unapokuwa mlalamishi sana unazoeleka,unaitwa huna jema.Nawaza tu kama Paul akitoa vyeti hadharani na Daudi asionekane au akijiuzuru huo ukuu wa mkoa,hivi tunazungumzia nini tena?Katika miaka 2ya awamu hii hivi tumewahi kuridhika na chochote?Hostels hatutaki, flyover hatutaki,utumbuaji majipu hatutaki,raisi hasafiri pia hatutaki,akisafiri hatutaki!! Ni kama aidha hatujui tunachotaka au tunataka roho yake.Ukilalamika mara chache utasikilizwa tu,mengine hata usiposifia kaa kimya yapite.
 
Kuna ka taasisi flani kalituomba wananchi kama tuna habari kuhusu yeyote kutumia cheti kisicho chake tukaambie katalishughulikia swala hilo haraka lakini nako naona kamekaa kimya kweli kweli, kuna kitu tumemkosea muumba mana asingetuacha hivi aisee
 
Nachoipenda hii nchi ni kwamba serikali ikiamua kuwachezesha gwaride nanyi mnazamia bla kujua kichwakichwa,,,subirini zinakuja nyingine kama sabin hiv mpka 2020.
 
Ni matusi mazito kwa intelijensia ya nchi kwamba kuna mteule wa Rais ambaye alighushi vyeti vya Elimu, kitendo ambacho ni kosa la jinai.
Tunatambua kuwa Viongozi ni kioo cha jamii. Wao ndio taswira ya jamii yetu, na ndio haswa wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa matendo yao katika maisha yao ya kila siku.

Kwa hivyo ingependeza viongozi wawe watu safi na makini, Ili watoto wetu wajifunze kwao. Lakini pia waweze kuwa na ushawishi kwa watu wa aina zote, wazee, vijana, watoto, wasomi, wajinga na wanafunzi. Ndio kusema kuwa, vyombo vya kiintelijensia (intelligence body) vina wajibu wa kumjua mtu kiunaga ubaga kabla ya kupata nafasi kubwa ya uongozi. Ile dhana ya kwamba Rais ni taasisi, isisahauliwe linapkokuja suala la Rais kuteua viongozi, ni lazima kuhusisha intelligence body/Body intelligence, katika kujua taarifa muhimu za hao wateule.

Sasa inapotokea Rais anateua cheti feki cha Elimu, wakati ni kosa la jinai ujue kwamba kuna shida katika 'body intelligence'; kwamba hiyo body ni 'incompetent' au imepuuzwa!!!, moja wapo ni sahihi.

Hata hivyo, kwa kutambua umasikini wa kimfumo katika shughuri za vyombo vyetu vya dola, ambavyo vimewezeshwa zaidi kudhibiti kuliko kuhudumia, tunaweza kuwasamehe. Lakini baada ya watu wengine kuibua kashfa za vyeti feki, halafu intelijensia zipo bize kukamata wabunge, that's shame and unforgivable.

Itoshe tu kusema kuwa kwa sakata hili la vyeti feki vya DAUDI, intelligence imetukanwa.

Mkuu Informer unaitwa huku!
 
Back
Top Bottom