Ni mapumziko au ni nini???

Ni mapumziko au ni nini???

A Father

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2012
Posts
1,385
Reaction score
601
Habari wanajamvi?
Nimejiuliza sijapata jibu, imebidi niwaulize wanaojua.
Nimepiga 100, namba ya huduma kwa wateja ya hawa wanaojiita 'BABA LAO' AIRTEL kwa saa 1, dakika 10, sekunde 44 nikiwa na shida yangu ambayo inahitaji ufumbuzi, simu haijapokelewa. Naambiwa "wahudumu wetu wanahudumia wateja wengine kwa sasa." Inamaana leo mapumziko ndio wateja wakuhudumiwa wamekuwa wengi mpaka kusubirishwa kwa muda wote huo au napewa tu matumaini na hiyo sauti iliyorekodiwa kumbe watu wapo mapumzikoni???
Huduma kwa wateja airtel si masaa 24 siku zote 7 za wiki???
Karibuni.
 
Habari wanajamvi?
Nimejiuliza sijapata jibu, imebidi niwaulize wanaojua.
Nimepiga 100, namba ya huduma kwa wateja ya hawa wanaojiita 'BABA LAO' AIRTEL kwa saa 1, dakika 10, sekunde 44 nikiwa na shida yangu ambayo inahitaji ufumbuzi, simu haijapokelewa. Naambiwa "wahudumu wetu wanahudumia wateja wengine kwa sasa." Inamaana leo mapumziko ndio wateja wakuhudumiwa wamekuwa wengi mpaka kusubirishwa kwa muda wote huo au napewa tu matumaini na hiyo sauti iliyorekodiwa kumbe watu wapo mapumzikoni???
Huduma kwa wateja airtel si masaa 24???
Karibuni.

aisee,inaonekana baba lao yuko na mama lao leo
 
Mbona hilo limenitokea na mimi nimepiga 100 TTCL mbona nimesubiri hadi nikakata!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom