chilamjanye
Senior Member
- Oct 5, 2007
- 110
- 3
ndugu wana jamvi leo nilikuwa naangalia siku ya mapinduzi ya zanzibar na nikasikia myangazaji akielezea vizuri kabisa kwamba leo ni siku ya mapinduzi matukufu ya wazanzibari kutimiza miaka 47.
Sikumuelewa vizuri mwandishi baada ya kuangaza uwanja umepambwa na bendera za vyama viwili vya siasa ccm na mpya wake cuf kana kwamba mapinduzi yanasherekewa na vyama hivyo viwili tu na zanzibar hakuna tena vyama vingine.
Pia nikamuona na kiongozi mkuu wa cuf bin ccm mheshimiwa lipumba yupo sanjari na mheshimiwa pius msekwa makamu wa ccm bara.
Nini maoni yenu wana jamvi
Sikumuelewa vizuri mwandishi baada ya kuangaza uwanja umepambwa na bendera za vyama viwili vya siasa ccm na mpya wake cuf kana kwamba mapinduzi yanasherekewa na vyama hivyo viwili tu na zanzibar hakuna tena vyama vingine.
Pia nikamuona na kiongozi mkuu wa cuf bin ccm mheshimiwa lipumba yupo sanjari na mheshimiwa pius msekwa makamu wa ccm bara.
Nini maoni yenu wana jamvi