Kuna hali ya sintofahamu kwa wakazi wa huku Mbagala. Milio inayoashiria mabomu inasikika watu tunataharuki.
wakati Wengine tunatafakari kukimbia kuna habari zinasema ni majambazi yamevamia banki. Wengne wanahisi mkutano wa dini uliokua eneo hilo ndo umeshambuliwa.
Kuna hali ya sintofahamu kwa wakazi wa huku Mbagala. Milio inayoashiria mabomu inasikika watu tunataharuki.
wakati Wengine tunatafakari kukimbia kuna habari zinasema ni majambazi yamevamia banki. Wengne wanahisi mkutano wa dini uliokua eneo hilo ndo umeshambuliwa.
Hiyo ni milio ya risasi au mabomu ya machozi. Mabomu husikika mbali wa hadi kilomita 8 toka eneo la tukio. Mizinga ya heshima yaani gun salute ni kama kilomita 3. Mjini hawajasikia labda yawe ni ya machozi polisi hutumui kupambana na wezi wakati mwingine.
Mzee wa taarifa za kiintelijensia hajazinasa???? si ajabu akaibuka na kusema wamekamata Majambazi yakiwa na silaa kali za kivita zaidi ya mia...pasipo kuuonyesha umma sura za hao majambazi.
Polisi huwa wanasogelea kwenye mikutano ya hadhara na kupiga watu wasiokuwa na silaha tu... Wakishasikia vshindo hawasogei... Ucniulize ndivyo walivyofundishwa CCP
Kuna hali ya sintofahamu kwa wakazi wa huku Mbagala. Milio inayoashiria mabomu inasikika watu tunataharuki.
wakati Wengine tunatafakari kukimbia kuna habari zinasema ni majambazi yamevamia banki. Wengne wanahisi mkutano wa dini uliokua eneo hilo ndo umeshambuliwa.
Mkuu relax, fuatilia kisha utupe habari vizuri. Hii ya mara ni majambazi mara ni mkutano wa dini inatuweka roho juu. Kumbuka tumeshaumwa na nyoka Arusha hivyo Watanzania bado tunatafakari!!!!. Sawaeee.