Ni limbwata au mapenzi

Ni limbwata au mapenzi

jijini leo

Member
Joined
Jul 20, 2014
Posts
62
Reaction score
9
Habari wana JF

Takribani kama wiki nzima nimekuwa nikisikia mwanaume mwenzetu akideki chooni na kufagia uwanja huku mke akiwa amekaa au amelala.

Leo nimejionea mwenyewe kwa macho mawili mwanaume kweli akifanya usafi chooni na uani huku mke akiwa amekaa.

Niliogopa hata kwenda kuoga mpaka alipomaliza usafi kote, na kuna wakati mwanaume anafanya usafi kwanza ndipo aende kazini, laah imeniuma sana kuona vile.

Sasa najiuliza ni mapenzi ya mwanaume kwa mke wake au ndo limbwata lenyewe?
Je anaweza akasaidiwa vp kama n linbwata?

Karibu kwa maoni na ushauri ili niweze kumsaidia mana ni jirani yangu.
 
Dah mwanangu hiyo ishu ni noma wakuu!
Mi nafikiri tuunde Chama kwa ajili ya kuwatetea na kuwatafutia ufumbuzi wale wote wenye matatizo ya kulishwa limbwata.
Hii itasaidia haki na thamani yetu ibaki pale pale, we unafikiri mke wako akimuona mwenzio anavyofanyiwa kazi zake hatatamani kukulisha na wewe limbwata ili nawe umfanyie kazi kama mwanamke mwenzake anavyofanyiwa?

Ndo maana mimi kwangu chakula cha peke yangu sili hata siku moja au hata kukuta kitu ameweka mi nianze kukila ama kuonja ...nehiii!
Siku zote tunakula chakula cha pamoja!
 
Dah mwanangu hiyo ishu ni noma wakuu!
Mi nafikiri tuunde Chama kwa ajili ya kuwatetea na kuwatafutia ufumbuzi wale wote wenye matatizo ya kulishwa limbwata.
Hii itasaidia haki na thamani yetu ibaki pale pale, we unafikiri mke wako akimuona mwenzio anavyofanyiwa kazi zake hatatamani kukulisha na wewe limbwata ili nawe umfanyie kazi kama mwanamke mwenzake anavyofanyiwa?

Ndo maana mimi kwangu chakula cha peke yangu sili hata siku moja au hata kukuta kitu ameweka mi nianze kukila ama kuonja ...nehiii!
Siku zote tunakula chakula cha pamoja!

Mkuu wangu limbwata wakat mwngne hutumwa kwa mlengwa tu hata mkila mia chakula litakuja kwako ulielengwa.
Mke wangu nae amekuwa akinitania hivo kuwa unamwona mwenzio nam nitakUwekea limbwata ukome hadi pichu zangu uwe unafua
 
Mkuu wangu limbwata wakat mwngne hutumwa kwa mlengwa tu hata mkila mia chakula litakuja kwako ulielengwa.
Mke wangu nae amekuwa akinitania hivo kuwa unamwona mwenzio nam nitakUwekea limbwata ukome hadi pichu zangu uwe unafua
kula pamoja yaani mimi na yeye!
 
Alishakolea jamaa hamutmweleza kitu saivi, inabidi kwa kumsaidia nkuenda kumita mama yake mzazi kwanza alafu mengine yatafuta
 
Namjua mshkaji, mke wake ana mimba changa. Na mimba changa zinasumbua sana.
 
Kama mke anaumwa kuna shida gani...? Na ukute hawana msaidizi wa kazi....
 
Mapenzi ni kusaidiana na kuoneana huruma, 2naweza 2kamwaga povu huku jamvini wakati ha2jui wakiwa kitandani wanaongea nini.
 
Na mimba miezi ya mwanzo inasumbua unaweza juta kwanini uliibeba.....

Ni noma, ungeniona nilivyochakarika wakati waifu ana mimba changa ungesema nimepewa bonge la limbwata!
 
Dah mwanangu hiyo ishu ni noma wakuu!
Mi nafikiri tuunde Chama kwa ajili ya kuwatetea na kuwatafutia ufumbuzi wale wote wenye matatizo ya kulishwa limbwata.
Hii itasaidia haki na thamani yetu ibaki pale pale, we unafikiri mke wako akimuona mwenzio anavyofanyiwa kazi zake hatatamani kukulisha na wewe limbwata ili nawe umfanyie kazi kama mwanamke mwenzake anavyofanyiwa?

Ndo maana mimi kwangu chakula cha peke yangu sili hata siku moja au hata kukuta kitu ameweka mi nianze kukila ama kuonja ...nehiii!
Siku zote tunakula chakula cha pamoja!

Ndugu, unaweza kuwekewa Limbwata kwenye maji ya kuoga au ndani ya Papuchi, hapo sijui utaikwepaje Limbwata.
 
Dah mwanangu hiyo ishu ni noma wakuu!
Mi nafikiri tuunde Chama kwa ajili ya kuwatetea na kuwatafutia ufumbuzi wale wote wenye matatizo ya kulishwa limbwata.
Hii itasaidia haki na thamani yetu ibaki pale pale, we unafikiri mke wako akimuona mwenzio anavyofanyiwa kazi zake hatatamani kukulisha na wewe limbwata ili nawe umfanyie kazi kama mwanamke mwenzake anavyofanyiwa?

Ndo maana mimi kwangu chakula cha peke yangu sili hata siku moja au hata kukuta kitu ameweka mi nianze kukila ama kuonja ...nehiii!
Siku zote tunakula chakula cha pamoja!

Ndugu, unaweza kuwekewa Limbwata kwenye maji ya kuoga au ndani ya Papuchi, hapo sijui utaikwepaje Limbwata. Hakuna sababu za kuunda chama. Ukimuamini Mungu asilimia mia moja limbwata halitofanya kazi katika mwili wako.
 
Habr wana jf!!
Takriban kama wiki nzima nimekuwa nikisikia mwanaume mwenzetu akideki
chooni na kufagia uwanja huku mke akiwa amekaa au amelala.leo nimejionea
mwenyewe kwa macho mawili mwanaume kwel akifanya usafi choon na uani
huku mke akiwa amekaa.niliogopa hata kwenda kuoga mpka alipomaliza usafi
kote.na kuna wakat mwanaume anafanya usafi kwanza ndipo aende
kazin.laah imeniuma sana kuona vile ..
Sasa najiuliza n mapenzi ya mwanaume kwa mke wake au ndo limbwata
lenyewe?????
Je anaweza akasaidiwa vp kama n linbwata ??

Karibu kwa maoni na Ushauri ili niweze kumsaidia mana n jiran
yangu.
tatizo la kuoa dem wa uswaz,ndoa ndo kila kitu kwake,lazima akuloge kujihakikishia 'hatam'
 
Back
Top Bottom