Mm ni mwanamke najua ninachokiongelea. Mwanamke anaekupenda anaweza kukuvumilia kutomfikisha kuliko kuvumilia kukosa matumizi mengine. Endelea kubisha na kujidanganya ati hitaji kuu la mwanamke ni kufikishwa.
Na kama humfikishi unajidai kumtimizia mahitaji tu yake nyie ndio mnawafanya wake zenu wawe wanatuhonga huku mitaani ili mradi tu huwa unampa dozi tamu inayomfikisha mpaka sebuleni.Na hii ndio password kubwa ya mwanamke ukimkuna vizuri hapo hata kama anakula bamia au mnalala chini hatajali
Mm ni mwanamke najua ninachokiongelea. Mwanamke anaekupenda anaweza kukuvumilia kutomfikisha kuliko kuvumilia kukosa matumizi mengine. Endelea kubisha na kujidanganya ati hitaji kuu la mwanamke ni kufikishwa.
Umalaya ni asili ya mtu haihusiani na kuridhishwa au kutokuridhishwa
Utasema unamfikisha haya umepata kazi ya mbali kdg tu miezi sita upo mbali nae anatembea na mwanaume mwingine eti hapo napo ujipe zigo la lawama kwamba kwakuwa nilikuwa nae mbali alikuwa na hisia za kimapenzi na mimi nilikuwa mbali,no waaay
Duniani kuna wanawake wa aina tatu
Malaya(wape chochote si wakuridhika)
Sio malaya(hawa hata asipolala na mwanaume mwaka bado hachepuki sio hulka yake)
Vigeugeu(Ukiwa nae hachepuki ukihamishwa mkoa kizazi anachepuka,ukirudi mkoa uliopo anaacha kuchepuka anabaki na wewe,ukiumwa kisukari huwezi mambo anachepuka,ukipona anaacha)
Mm ni mwanamke najua ninachokiongelea. Mwanamke anaekupenda anaweza kukuvumilia kutomfikisha kuliko kuvumilia kukosa matumizi mengine. Endelea kubisha na kujidanganya ati hitaji kuu la mwanamke ni kufikishwa.
Kama unadhani sababu ya mwanamke....kutoka nje ya mahusiano ni kutofikishwa tu.... umebugi!....si wangechukua hata matango!.....sababu ni nyingi... nyingine ni za kimasihara tu!