Ni kweli Wahehe wanakula nyama ya mbwa?

Ni kweli Wahehe wanakula nyama ya mbwa?

Joined
Jun 3, 2014
Posts
49
Reaction score
11
Wakuu jana nlikaa na mzee wa Kihehe, nikamuuliza kuhusu wao kuhusishwa na kula securiter a.k.a wuuwuu ze dog na alichonojibu ni hiki hapa
"Kiukweli wahehe hatul mbwa ispokua uvumi huu ulianza pale zamani wakoloni wa Kijeruman walipokuja Bara na wakamwona mtoto kitumbo kimefutukaa,wakamuuliza umekula nini?

Akawajibu "Nimekula ugali na akadogi" (akadogi ni maharage kwa lugha ya Kihehe)

Basi hapa Wajerumani wakajua amekul ugali na dogi yaan mbwa ze wuuuuuwuuuu, uvumi ukaanza vuma hapo" hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nam leo mzaramo ila nakula wali na akadogi ya Mbeya
 
Kwani mbwa ana shida gani mkuu kama unamfurahia ukitumia..Hakuna kitu haramu ni ww na mind yako
 
Mbwa analika vizuri sana, tena natamani nikutane na mishkaki ya mbwa niitandike, supu ya punda nilishaionja kuleee iramba sikuipenda sana, mishkaki ya nyani inanoga sema ina mafutamafuta sana, ya mamba ndiyo mpango mzima.
 
Mbwa analika vizuri sana, tena natamani nikutane na mishkaki ya mbwa niitandike, supu ya punda nilishaionja kuleee iramba sikuipenda sana, mishkaki ya nyani inanoga sema ina mafutamafuta sana, ya mamba ndiyo mpango mzima.

mkuu unatsha kam tsunam
 
Nyalukolo ndiyo zao hizo wee kamuulize Mzee Lukuvi!
 
Wewe unauhakika gani hujala kwani ukiagiza nyama hotelini au safarin huwa unauhakika si mbwa?mbona mimi Kwenye mgahawa wangu mnakula?na hampati madhara wala kutapika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom