Mzee ES na choveki, nashukuru kwa challenging questions.
1) The personal nature of the subject.
Ni kweli kabisa kuwa katika nchi nyingi zilizoendelea ni kosa almost equal to man slaughter mtu akibainika ya kwamba amemuambukiza mtu mwinigne hili gonjwa kwa makusudi au bahati mbaya, lakini in all cases huyo aliye ambukizwa ndiye anayejitokeza kwanza kushitaki kwamba ameambukizwa ukimwi na anafikiria kuwa ni mtu fulani au fulani, ila si nafasi ya serikali kum monitor huyo mtu kuhakikisha kuwa muathirika halali na wale ambao sio wa athirika. It invades the privacy of individuals which is a basic right of all humans in health care.
The personal nature of the subject than further arises in that, kwetu nyumbani hata huyo aliyeambukizwa kujitokeza ni vigumu sababu kubwa ikiwa the stigma attached to the disease and the personal nature of the disease itself whereby the benefits of staying quite outweigh those of speaking out.
This is also a socio economic aspect in that if "life was worth living" than the benefits for such people speaking out and getting compensation, stoping others contracting would far outweigh the disadvantage of staying quite. Hopelessnes ya maisha yetu sasa inachangia watu kukaa kimya.
2) Sisi kama nchi iliyoathirika kwa kiwango kikubwa sana na hili gonjwa ni vigumu both practically and ethically to adopt the approach of identifying all infected and punishing those that we find have intentionally spread the virus. Hii italeta ubaguzi usiwo na kifani katika jamii yetu.
Kwanza kabisa baada ya kubaini mtu fulani anao na amelala na mtu mwingine na kumuambukiza how will you start the case when we have no complaintiff.
Pili kitendo cha kuwa segregate affected individuals, ambacho ndicho kita tokana na hii approach, kitaenda kinyume na maadili ya ubinadamu. Si vyema kuwatenga waAthirika wa hili gonjwa kwasababu kama magonjwa mengine hakuna anayechagua kuwa na gonjwa hili.
3)
Once again the ethical and discriminatory nature of the approach is what will make such a practice inappropriate and impracticle.
4)
Napenda maswali yako. Nimesema kuwa Socio economic factors zina nafasi kubwa sana katika uenezi wa hili gonjwa kuliko wataalamu wanavyolichukulia. Sio kwamba ndio chanzo pekee. Ukimwi ni an intricate combination of many factors and in my view socio-economic factos pay a larger role than attributed. Naomba usome hii article ya Nicole Grimm
http://www.wcl.american.edu/hrbrief/v4i3/aids43.htm kuanzia heading ya human rights concern. katika Paragraph ya 4 under the heading Human rights control ya hio article niliyokuomba usome (
Choveki as well) ina shed more light into my assertions
In addition to the widely-experienced problems that exist for many Tanzanians with HIV/AIDS, women who are HIV-positive bear an especially heavy burden. Of the 1.2 million people who are currently infected, 60-70% are female. There are several reasons for this disproportionate infection rate and the particular human rights abuses faced by women with HIV/AIDS. One reason is that Tanzanian men have traditionally been encouraged to engage in extramarital and promiscuous sex. As a result, one infected man may infect several female partners. Another factor is poverty, which forces women to stay with promiscuous, HIV- infected husbands and risk infection for themselves in order to maintain their access to the men's economic resources. Poverty has also forced large numbers of women to become prostitutes or bar girls. These women run a high risk of contracting the virus because their clients often pay more if the women agree to have intercourse without a condom. A third problem is the low social status of women in Tanzania. This makes it difficult for women to control the sexual behavior of their male partners or to require men to use condoms. Women's low status has also resulted in evidentiary procedures under Tanzania's Evidence Act that require female rape victims who press charges against their attackers to disclose their HIV-status, in violation of their privacy rights.
Ni wazi kuwa socio-economic factors play a key role in the spread.
Ukija kwenye cases kama Botswana kwa kweli pale ni social behaviour za jamii, lakini pia utajiri wa ile nchi haujawafikia wananchi kwa kiwango ambacho unaweza kufananisha na 1st world countires. Uarabuni jibu ni sharia law, ambayo despite "advantages' zake sidhani kama waAfrika tutakubali kuendeshwa na sheria za kiukandamizi kama hizo (thats an exreme case). Marekani na hao waathirika "million 10" a majority are gay men and African Americans whose socio economic state is very low as i'm sure hurricane Katrina made evident!
Uganda imefanya kazi nzuri, si kweli kwamba huo ugonjwa sasa haupo, ila rate of spread ni ndogo na nikweli hii imetokana sana na elimu walioifanya, lakini it will be simplistic to conclude that Ugandans than learn faster than other Africans and that why their rate of AIDS infection is low. there must be other factors at play, of which i know not of now and choose not to speculate.
Natumaini nime address maswala aliyosema choveki pia. Kusema kuwa
kinachisababisha watu wengi wapoteze maisha na huu ugonjwa ni uzembe au ujinga kama huo wa J Zuma
si sahihi, kwani hapa unamaanisha kuwa basi sisi waAfrika ni wajinga. Ndugu this is a very simplistic appraoch and very very wrong. Tabia basic kabisa ya kiumbe yeyote mwenye the least bit of mental cognition knows to react otherwise when faced with a matter of death. Hata mbuzi akiona mwenzake anaungua kwenye moto yeye hata jirusha kwenye moto, ku suggest kuwa binadamu mzima ataendelea kufanya ngono bila kujali hali anaona watu wanakufa kila kukicha kwasabau ya hili gonjwa ni ku suggest kuwa tuna akili ndogo kuliko wanyama wengi wa pori! There are factors more complicated than simple stupidity and it is there inclusion in the AIDS equation that make this subject increasingly complex!
wasalam!