The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,119
- 1,425
Sasa kama nimechoma Vituo vya mafuta na kuharibu Mali za watu je nahitaji kupigwa risasi au kufunguliwa mashtaka
Je sheria inaruhusu mtu asiyekua na silaha kupigwa risasi?
Je sheria inaruhusu mtu kufuatwa nyumbani na kupigwa risasi?
Je sheria inaruhusu mtu asiyekua na silaha kupigwa risasi?
Je sheria inaruhusu mtu kufuatwa nyumbani na kupigwa risasi?