mwalimumwema
Member
- Dec 7, 2012
- 16
- 1
Katika kongamano la kuadhimisha miaka 51 ya uhuru wa Tanzania bara swala la walimu na elimu limegusiwa sana na wachokoza mada na wachangiaji waliowengi. Lakini jambo lililonishangaza ni tuhuma kwamba eti 'serikali ya Tanzania inapuuzia madai ya walimu' naamini tunao walimu hapa, je ni kweli madai ya walimu yanapuuzwa na serikali yao tukufu? Pia naamini wawakilishi ama SERIKALI yenyewe inapitapita maeneo haya, Je ni kweli katika uongozi wao wanapuuza madai ya walimu?
KWA HALI HIYO BASI WALIMU WAFANYEJE SASA IWAPO MADAI YAO YA MSINGI YANAPUUZWA NA SERIKALI.
KWA HALI HIYO BASI WALIMU WAFANYEJE SASA IWAPO MADAI YAO YA MSINGI YANAPUUZWA NA SERIKALI.