Root ni only chainfire flashable root files zinaweza zikasaidia.. Ila lazima uwe mtaalam wa kuflsh kwa kutumia odin.. Nenda kwa web yao... Af chagua flashable file zako then flash kwa odin.... Kuhusu imei... Download miracle box 2.27A crack-search google.. Then nenda kwenye developer option ndan ya simu af activate usb debuging-google jins ya kuactivate usb debugging . then run hiyo crack alaf nenda tab ya androd then read info.. Any case just PM nitakuelekeza zaid