Ni kweli pesa hainunui kila kitu!

Ni kweli pesa hainunui kila kitu!

Waamini wa pesa ni kila kitu ni maskini wenzetu ndugu yangu!!Furaha,Faraja&upendo matumaini ni kila kitu maishani.
 
sexological stress! Trust me , .. Hafikishwi anapotaka na hana namna ya kufanya hivyo.
Me watu wenye visirani ee Mungu niepushe nao,life is too short to be stressed out...
Kuwa free,cheka cheza enjoyyyy... Aaaghhh...
Ishi freeee...
But be smart.
Me napenda nyumba ambayo muda mwingi mnaenjoy na kufurahi sio mmenuna mgeni akija hata kuhema anashindwa,! Kha!
Me nataka nyumba ama familia yenye afya ,muwe nacho hamna wote mko okay...
Ukiondoka wanakumiss.. Sio ukisinzia tuu wanashangilia uhuru! No jamani!!!
Apo akitokea msaidiz wa ndani mwenye roho mbaya na sumu atamuwekea huyo mama!!
 
Kuna maisha mengine yanafuraha tele kama ya familia ya Bushman yule wa "The gods must be crazy"mpaka unayatamani..!!
 
sexological stress! Trust me , .. Hafikishwi anapotaka na hana namna ya kufanya hivyo.
Me watu wenye visirani ee Mungu niepushe nao,life is too short to be stressed out...
Kuwa free,cheka cheza enjoyyyy... Aaaghhh...
Ishi freeee...
But be smart.
Me napenda nyumba ambayo muda mwingi mnaenjoy na kufurahi sio mmenuna mgeni akija hata kuhema anashindwa,! Kha!
Me nataka nyumba ama familia yenye afya ,muwe nacho hamna wote mko okay...
Ukiondoka wanakumiss.. Sio ukisinzia tuu wanashangilia uhuru! No jamani!!!
Apo akitokea msaidiz wa ndani mwenye roho mbaya na sumu atamuwekea huyo mama!!

Hii inaweza kuwa ni sababu kweli? yaani mtu kutofikishwa ndio uchukie ndugu wa mumeo na pia hata ndugu zako mwenyewe!
 
Hii inaweza kuwa ni sababu kweli? yaani mtu kutofikishwa ndio uchukie ndugu wa mumeo na pia hata ndugu zako mwenyewe!
sio kwamba anawchukia...ni kwamba yeye mwenyewe hajipendi
 
Nimeipenda topic yako Ngonepi.
App yangu tu kw simu haina sehemu like.
... umeangalia maisha ktk uhalisia wake !
 
Nimeipenda topic yako Ngonepi.
App yangu tu kw simu haina sehemu like.
... umeangalia maisha ktk uhalisia wake !

Maisha wakati mwingine yanakosa tafsiri kabisaa! unaweza kutamani kuwa kama fulani kumbe yule unayetamani ungekuwa yeye mwenyewe hafurahii kabisa kile wewe umekiona.

Sasa huwa najiuliza kwa nini wanadamu tunakuwa na tamaa, tunatamani vitu na hata tukivipata bado tu tamaa haiishi mioyoni mwetu!!

Utakuta mtu ana ardhi hekari hata mia lakini bado tu anagombea nusu heka na maskini!
mtu ana gari la milioni mia lakini angombana na mhudumu wa car parking kwa kukataa kulipia shilingi mia tatu ya park.
yaani pesa inakosa maana kabisa, pesa inakufanya utengwe na ujitenge na familia yako, pesa inakupa upweke inakupa maadui ambao kábla walikuwa ni watu wako wa karibu!
Unaweza ukatamani kutopata pesa nyingi ukiona maisha ya baadhi ya matajiri!!
 
Usione watu wanamajumba mazuri na magari mazuri ila furaha ya moyoni imetoweka. Ni bora ukaishi maisha ya kawaida lakini ukiwa furaha ya moyoni
 
Maisha wakati mwingine yanakosa tafsiri kabisaa! unaweza kutamani kuwa kama fulani kumbe yule unayetamani ungekuwa yeye mwenyewe hafurahii kabisa kile wewe umekiona.

Sasa huwa najiuliza kwa nini wanadamu tunakuwa na tamaa, tunatamani vitu na hata tukivipata bado tu tamaa haiishi mioyoni mwetu!!

Utakuta mtu ana ardhi hekari hata mia lakini bado tu anagombea nusu heka na maskini!
mtu ana gari la milioni mia lakini angombana na mhudumu wa car parking kwa kukataa kulipia shilingi mia tatu ya park.
yaani pesa inakosa maana kabisa, pesa inakufanya utengwe na ujitenge na familia yako, pesa inakupa upweke inakupa maadui ambao kábla walikuwa ni watu wako wa karibu!
Unaweza ukatamani kutopata pesa nyingi ukiona maisha ya baadhi ya matajiri!!

Ukiongozwa na pesa lazima hayo yakutokee, tamaa ya pesa ni mbaya
 
images
 
Ni kweli kabisa pesa inaweza kununua vitu vingi ila sio furaha aisee na matajir wengi they are stressed ndo mana wengine wanaishia kunywa pombe sana au kutumia drugs ili mradi tu ease up the stress level
 
Wapo wanaodai Pesa ndiyo kila kitu lakini Si kweli... Pesa si kila kitu.... kwa sababu Pesa yaweza kununua kitanda lakini haiwezi kununua usingizi, Pesa yaweza kununua saa lakini siyo wakati. Pesa yaweza kununua cheo lakini haiwezi kununua heshima.

Pesa yaweza kununua Dawa lakini kamwe haiwezi kununua afya, Pesa yaweza kununua anasa lakini haiwezi kununua upendo... Pesa yaweza kununua jeneza lakini haiwezi kurudisha uhai... aaah wengine endeleeni na wakosoaji kosoeni.
 
Masikini kwa kujipa moyo bwana, mbona kuna masikini ambao wana tabia hizo pamoja na kusema kuwa wamepanga chumba kimoja lakini wana tabia za huyo mama nao hao unawazungumziaje???? Kuwa na hela sio kubadilika tabia, hela ni kitu kingine na tabia kitu kingine. Mwenye pesa si mwenzio jamani mbona mnapenda kujipa no sweat??? Hapo ulipo usikute na mkeo hamuelewani je kwa sababu mna hela???? Ukiwa na hela waweza fanya mambo mengi sana, ziki mbaya jamani tujitahidi kujikwamua kimaisha sio kupiga majungu.
 
Wapo wanaodai Pesa ndiyo kila kitu lakini Si kweli... Pesa si kila kitu.... kwa sababu Pesa yaweza kununua kitanda lakini haiwezi kununua usingizi, Pesa yaweza kununua saa lakini siyo wakati. Pesa yaweza kununua cheo lakini haiwezi kununua heshima.

Pesa yaweza kununua Dawa lakini kamwe haiwezi kununua afya, Pesa yaweza kununua anasa lakini haiwezi kununua upendo... Pesa yaweza kununua jeneza lakini haiwezi kurudisha uhai... aaah wengine endeleeni na wakosoaji kosoeni.

Lazima tuishi kwa matumaini, nakuongezea nyingine: hata wakiwa na ghorofa atalala kwenye chumba kimoja;
 
Ni kweli kabisa pesa inaweza kununua vitu vingi ila sio furaha aisee na matajir wengi they are stressed ndo mana wengine wanaishia kunywa pombe sana au kutumia drugs ili mradi tu ease up the stress level

Kweli kabisa...upo lakn nimekukumbuka
 
Siku hizi watu wataacha kukaribisha wageni

Kuepuka kuchunguzwa

Hahaha kuna ukweli katika hili...maana wao ndo hutoa yaliyomo ndani na kupeleka nje bila kusahau kuongeza vichumvi...
 
Uliyoyaona nyumbani kwangu yaache apo apo..unayaleta uku ya kazi gan
 
Back
Top Bottom