Ni kwanini watanzania wengi hatupendani katika masuala ya maendeleo?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
ni vigumu wengi kuamini sasa hivi ndani ya nchi yetu tumeingia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ambayo imeanza muda mrefu ila siku zinavyozidi kwenda inaongezeka.

vita ninayoizungumzia sio vita ya bunduki wala mabomu bali ni vita kati ya watu waliofanikiwa katika maisha na watu wasiofanikiwa katika maisha.

ninasema hivo kutokana sababu au ishara zifuatazoo.

1.siku hizi kama miaka ya nyuma ulikuwa una maisha mazuli ikitokea umefilisika basi watu wengi wa karibu nawe watafurahi huku wakisema mwaka huu ni lazima tuheshimiane.


2.kama ulikuwa unafanya kazi ikitokea umesimamishwa utasikia watu wakisema jamaa katumbuliwa alikuwa anaringa sana bora arudi mtaani awe kama sisi heshima irudi mtaani.

3.ikitokea umefanikiwa katika biashara zako au kazi zako utasikia wengine yule kamtoa kafara mzazi wake, mara kaua watoto wa kaka zake au katoa kafara watoto zake.

4.kama ulikuwa enzi za nyuma unapata pata hela kutokana na mishemishe unazozifanya sasa kama kipindi hiki ikitokea mishemishe zako zimekwama basi wengi watafurahi na utasikia afadhali enzi zile tulikuwa hatukai kwa raha sasa hivi bora kafilisika heshima irudi
watu vwote tuwe sawa.

kitu ninachojiuliza hivi ni kwanini watanzania hatupendi nchi hivi hii vita ya kimaendeleo ni nini hatma yake
 
Ujinga, wivu na umaskinii ni utatu mshikamano.

Usisahau ushirikina ndiyo kachumbari yake.
mkuu nakuunga mkono hebu fikili tuu watu ambao mtaani wanazungumza mwaka huu ni lazima tuheshimiane sijui nini wanakuwa wanakilenga
 
Hii tabia sio watanzania tu karibu dunia nzima watu wanaofurahia mafanikio ya wenzao kutoka moyoni ni wachache sana nikiwemo mimi
 
Hii tabia sio watanzania tu karibu dunia nzima watu wanaofurahia mafanikio ya wenzao kutoka moyoni ni wachache sana nikiwemo mimi
mkuu mimi mbona huku ndio tumezidi sana just imagine mtu moyo wake huwa anasherekea au anafurahi anaposikia una shidaa au maisha yako yamevurugika
 
Mimi huwa nasemaga mwafrica upeo wa kufikiri ni mdogo na hataki kufanya jitihada uongezeke ndio maana field nyingi tupo chini

Wivu
Kushindwa vyote vipo kwa mtu asiejielewa
Na malezi yamechangia sana
Tunarithi chochote toka kwa wazazi maana ndie mwalimu wa
Kwanza

UPENDO HUANZIA KWENU
 
Experience inaoonyesha illiteracy, witchraft,wivu, ulofa na utanzania are to blame on this.
 
Wengi was waliofanikiwa huwa na nyodo nyingi baa na hata wengine kutumia uwezo wao kipesa kuchukua wake za maskini. Hii ikitokea kafukuzwa kazi au kufilisika basi ndo furaha kwa oppressed class.
Sidhani Mengi akifilisika kama MTU was chini atafurahia. Nina imani wengi wataumia kwa kuwa tajiri huyu anajitolea sana kwa jamii.
Mengi ninayo ila ngoja nimalizie kikao
 
Tunashindwa kujyuaTajiri mmoja akifirisika basi watu elfu moja wanarudi kwenye umaskini.
 
Tunashindwa kujyuaTajiri mmoja akifirisika basi watu elfu moja wanarudi kwenye umaskini.
mkuu mimi kwa uzoefu wangu huku mtaani mimi sielewi labda ni ushabiki tuu sijui yaani watu wanaishi ya kusikilizia ........
 
Wengi was waliofanikiwa huwa na nyodo nyingi baa na hata wengine kutumia uwezo wao kipesa kuchukua wake za maskini. Hii ikitokea kafukuzwa kazi au kufilisika basi ndo furaha kwa oppressed class.
Sidhani Mengi akifilisika kama MTU was chini atafurahia. Nina imani wengi wataumia kwa kuwa tajiri huyu anajitolea sana kwa jamii.
Mengi ninayo ila ngoja nimalizie kikao
ni kweli lakini unajua katika maisha unaweza ukawa una moyo wa kusaidia ndugu na marafiki lakini ikitokea siku umefilisika ndugu na marafiki wa karibu hukukimbia na kujitenga mbali na wewe ,

wengine huenda mbali zaidi na kukucheka licha ya wewe ulikuwa ukiwasaidia kwa moyo wako wote
 
Ujinga, wivu na umaskinii ni utatu mshikamano.

Usisahau ushirikina ndiyo kachumbari yake.

Umaskini ndiyo shida kubwa, kijijini huwa wanakuroga kabisa mie nilikuwa nafaulu vizuri darasani kwanini wasitake kuniua ni Mungu tu aliyeniepusha na kifo sitakuja kusahau mpaka siku nakufa.
 
Umaskini ndiyo shida kubwa, kijijini huwa wanakuroga kabisa mie nilikuwa nafaulu vizuri darasani kwanini wasitake kuniua ni Mungu tu aliyeniepusha na kifo sitakuja kusahau mpaka siku nakufa.
pole sana JUSTMAN hivi hio ilikuwa ni kipindi gani na ilikuwajee
 
1.Roho mbaya
2.Wivu (wa kijinga)
3.Uvivu wa kufikiri
4.Kupenda mteremko(utajiri wa haraka)
5.Tamaa/Ulafi
6.Ubinafsi(kupenda kuwa bosi)
7.Uchoyo
8.Kuendekeza anasa(biashara na mapenzi havichangamani)
9.kupenda sana ndugu au familia yako
10.Sifa za kijinga mtaani/ktk jamii
[HASHTAG]#Nimeandika[/HASHTAG] nikiwa nimekula bia muda huu,ngoja time ya hang-over ikifika nitafafanua 1-10
 
1.Roho mbaya
2.Wivu (wa kijinga)
3.Uvivu wa kufikiri
4.Kupenda mteremko(utajiri wa haraka)
5.Tamaa/Ulafi
6.Ubinafsi(kupenda kuwa bosi)
7.Uchoyo
8.Kuendekeza anasa(biashara na mapenzi havichangamani)
9.kupenda sana ndugu au familia yako
10.Sifa za kijinga mtaani/ktk jamii
[HASHTAG]#Nimeandika[/HASHTAG] nikiwa nimekula bia muda huu,ngoja time ya hang-over ikifika nitafafanua 1-10
hahaha siku hizi watu wana kasemo mwaka huu ni lazima tuheshimiane ila angalia mkuu yasije yakakukuta b
 
Mimi huwa nasemaga mwafrica upeo wa kufikiri ni mdogo na hataki kufanya jitihada uongezeke ndio maana field nyingi tupo chini

Wivu
Kushindwa vyote vipo kwa mtu asiejielewa
Na malezi yamechangia sana
Tunarithi chochote toka kwa wazazi maana ndie mwalimu wa
Kwanza

UPENDO HUANZIA KWENU
kuna siku mkuu nilikuwa nipo ndani ya daladala nikamsikia jamaa mmoja alikuwa akizungumza mara ohoo kipindi kile watu walizoea hela za bure bure akawa vijana walikuwa na hela mpaka heshima imepotea mtaani sasa hivi bora hela imekuwa ngumu kupatikana na bora hali iendeleee kuwa hivi ili tuheshimiane kati ya wakubwa na watoto .

sasa hapa ndipo jiulize maswali ina maana mtu akiwa na gali zuli, ana hela na anaishi maisha vmazuli ina maana hapo heshima hamnaaa.

ila yeye anafurahi bora hali iwe ngumu vwenye pesa na wasio na pesa hali zetu ziendelee kuwa ngumu hivi hivi watu wakose hela, watu wasiwe na magali mazuli ina maana hapo ndo heshima imerudi
 
Back
Top Bottom