Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,216
- 162,799
Ni kwanini serikali haitoa kipaumbele katia uwekezaji wa viwanda hapa nchini?Hivi tukiwekeza katika viwanda ambavyo sehemu kubwa ya maliasili/malighafi zitatoka hapa nchini tutashindwa?
Serikali haiwezi kuingi ubia na makampuni ya nje katika huu uwekezaji?Kwa mfano, viwanda kama vya "toothpick" navyo vitatushinda?
Ukiwekeza kwenye viwanda utakuza uchumi,utazalisha ajira n.k.So why the goverment does not think about BRN in this sector?
Our country is endowed with so many resourses but i wonder why we are failing even to utilize this potential?!
Serikali haiwezi kuingi ubia na makampuni ya nje katika huu uwekezaji?Kwa mfano, viwanda kama vya "toothpick" navyo vitatushinda?
Ukiwekeza kwenye viwanda utakuza uchumi,utazalisha ajira n.k.So why the goverment does not think about BRN in this sector?
Our country is endowed with so many resourses but i wonder why we are failing even to utilize this potential?!