Ni kitu gani hiki?

Ni kitu gani hiki?

Nimeona kitu kama kimondo juu kinaenda Kasi nikachukulia kawaidatu ghafla kikabarika rangi nakuwa chekundu kinawaka kamamoto kikaanza kushuka chini kamakinadondoka

Nikahisi tushashushiwa kiazi tayali😐😐😐 mbayazaidi kinakuja uelekeo niliopomimi nusunikimbie😁

Bahati nzuri moto ukazima Moshi ukasambaa ikabaki nyota ikaanza kwenda kuelekea juu ilikotokea

Imenipagawisha wadau
ELimu ELimu ELimu.

Ukipata muda jaribu kusoma Comets ,Asteroids,meteoroids etc
 
Back
Top Bottom