Ni kitu gani hiki?

Ni kitu gani hiki?

aliekatakamba humutuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2024
Posts
1,047
Reaction score
1,665
Nimeona kitu kama kimondo juu kinaenda Kasi nikachukulia kawaidatu ghafla kikabarika rangi nakuwa chekundu kinawaka kamamoto kikaanza kushuka chini kamakinadondoka

Nikahisi tushashushiwa kiazi tayali😐😐😐 mbayazaidi kinakuja uelekeo niliopomimi nusunikimbie😁

Bahati nzuri moto ukazima Moshi ukasambaa ikabaki nyota ikaanza kwenda kuelekea juu ilikotokea

Imenipagawisha wadau
 
Pole mkuu, ni jet fighter F-22 zinafanya tizi.
images.jpeg
Moto uliouona ni engine thrust..
images (2).jpeg
 
Nimeona kitu kama kimondo juu kinaenda Kasi nikachukulia kawaidatu ghafla kikabarika rangi nakuwa chekundu kinawaka kamamoto kikaanza kushuka chini kamakinadondoka

Nikahisi tushashushiwa kiazi tayali😐😐😐 mbayazaidi kinakuja uelekeo niliopomimi nusunikimbie😁

Bahati nzuri moto ukazima Moshi ukasambaa ikabaki nyota ikaanza kwenda kuelekea juu ilikotokea

Imenipagawisha wadau
Wewe utakuwa ni mgonjwa ndena hospitali.
 
Back
Top Bottom