kabisa mkuuWrite your reply...Cha thamani ni DAMU YA YESU TU
hasa information zinazohusu Wokovu ulio katika Yesu Kristo mwana pekee wa Mungu alie hai!Ni kweli mkuu Information ndio bidhaa ghali zaidi duniani kwa wakati huu.
Wachache wataelewa.
Hekima kuu ni kumjua Yesu ya kwamba ni mwokozi wa ulimwengu, na alikuja ulimwenguni kutuokoa sisi wanadamu tuliokua tumepotea!Maarifa = Hekima. Hiki ndicho alichoomba nabii Suleiman..
Mwanadamu ukikosa hekima.unakuwa.ka mnyama wa porini hata kama una cheo gani; Madaraka gani ama mali kiasi gani unakuwa ni Punda tu.
We laazma mchawi uliwahi itumia??Write your reply...Cha thamani ni DAMU YA YESU TU





hakuna watu mnaorudisha maendeleo nyuma kama nyiehasa information zinazohusu Wokovu ulio katika Yesu Kristo mwana pekee wa Mungu alie hai!