Random
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 791
- 743
Kila mtu ana maoni yake na pengine yanaweza kutofautiana sana na mwingine,
Lkn kwa miaka mingi vimekuwa vikitajwa vile vinavyochimbwa ardhini au kupatikana chini ya bahari kuwa ni vya thamani zaidi yaani madini na aina mbalmbal za mafuta.
Kwa miaka ya sasa vitu hivyo vimezidiwa thamani na kitu kimoja ambacho ndicho kilicho juu zaidi ya vyote hivyo, c kingine ni TAARIFA
Lkn kwa miaka mingi vimekuwa vikitajwa vile vinavyochimbwa ardhini au kupatikana chini ya bahari kuwa ni vya thamani zaidi yaani madini na aina mbalmbal za mafuta.
Kwa miaka ya sasa vitu hivyo vimezidiwa thamani na kitu kimoja ambacho ndicho kilicho juu zaidi ya vyote hivyo, c kingine ni TAARIFA
