McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Hata kama umeshashusha mjengo watu wengi huwa wanapanga sana chumba au nyumba
Sasa kabla ya kupata nyumba ya kuishi kunakuwa na ile process ya kuipata hiyo nyumba
Siku hizi kila kona kuna madalali na mimi hawa ndo wananikera sana.
Kuna wakati nilikuwa natafuta nyumba nilizungushwa mno. Can you imagine dalali unahangaika nae wiki mbili kila siku anakuambia nimepata nyumba sehemu ukienda nyumba haina viwango na ni lazima umpe hela kama 10k kila anapoenda kukuonesha nyumba mpya.
Kiukweli nilikuwa nakwazika sana.
Nyie wenzangu vipi? Mkitafutaga nyumba huwa mnakumbana na changamoto gani?
Hata kama umeshashusha mjengo watu wengi huwa wanapanga sana chumba au nyumba
Sasa kabla ya kupata nyumba ya kuishi kunakuwa na ile process ya kuipata hiyo nyumba
Siku hizi kila kona kuna madalali na mimi hawa ndo wananikera sana.
Kuna wakati nilikuwa natafuta nyumba nilizungushwa mno. Can you imagine dalali unahangaika nae wiki mbili kila siku anakuambia nimepata nyumba sehemu ukienda nyumba haina viwango na ni lazima umpe hela kama 10k kila anapoenda kukuonesha nyumba mpya.
Kiukweli nilikuwa nakwazika sana.
Nyie wenzangu vipi? Mkitafutaga nyumba huwa mnakumbana na changamoto gani?