PowerWithin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2014
- 646
- 501
Dah.....nyie mapenzi yenu yana sound za kishambashamba sana mixer na utoto, hata ukiwa jukwaa la siasa lazima umention mahondaw wako; of which sio dalili njema kwa mtoto wa kiume!
na utahsindwa kwa sababu hilo liko nje ya uwezo wako ila lingekuwa ndani ya naamini katu usingeshindwa safi sana hii
Weka picha!ha hahaha tangopori miss u
lilishakufaga ila lipo lingine sijui .. mtafute Valentina
ha ahaha mi huruma sina kwa mwanaume kwa kweliSawa mkuu,
Ila wewe jitahidi uwe na huruma kidogo, usiwe kama huyo aliyetaka nimnunulie C9 wakati nokia yangu nimeifunga kwa rababendi.
B mkubwa alikomaa akamwambia akimsikia tena au hata amekuja nyumbani atampiga!Mwisho wa mchezo ilikuwaje Mkuu
Hahaa,ha ahaha mi huruma sina kwa mwanaume kwa kweli
Ahahaa hawa viumbe ukizoesha vibaya utabak kulia mjin apa..kwa kuwa ushamzoesha pesa mwisho anakuomba umnunulie kiwanja..anatakiwa ashauri baby nunua kiwanja chetu tujenge,sio baby ninunulie kiwanja..pesa unaweza msaidia kama uwezo huo unao kweli sio una fake kwa kuwa ushamzoesha pesa kmbe huna kitu utaumia na iwe kwenye shida ya msingi unajua na mtu mwnywe ana malengo,sio wale s8 imetoka baby natak na mmEBANA MEEZY UKO SAHIHI MTOTO ULEAFYO NDIVYO AKUAVYO DEMU AKISHAZOEA MAPESA MAPESA KUTOKA KWAKO SIKU UKIMWAMBIA HUNA HAWEZI KUKUELEWA.........
NA IKITITOKEA UKAACHANA NA DEMU BASI AUTOMATICALLY DEMU ANAGEUKO MALAYA KWA SABABU ULISHAMZOESHA MAPESA PESAA SASA NA YEYE ATAKUWA AMEATHIRIKA KISAIKOLOJIA
HIVYO KAMA WEWE ULIKUWA UNAMUHONGA LAKI MOJA HAWEZI TENA KUISHI NA MWANAUME WA ELFU 20 AU 10 ZA KUMUHONGA HIVO NI LAZIMA ATAFUTE WA SAIZI YAKE
Niliruka sikutoa halafu alinitaiti ile siku tuliyopanga nimgegede ila alivyotaja tu masuala ya elfu hamsini nyege zote zilikwisha na nikapata safari ya gaflaVipi kaka pilato ulitoa lakini hiyo 50 ya watu
DUU NILIHISI BAADA YA HAPO ULIAMUA KWENDA KIMBOKA KUTULIZA HASIRANiliruka sikutoa halafu alinitaiti ile siku tuliyopanga nimgegede ila alivyotaja tu masuala ya elfu hamsini nyege zote zilikwisha na nikapata safari ya gafla
Lazima uachane nae coz huna kitu mfukoni.Ila Mkuu huyo mdada nilimpenda sana ila stress na mawazo ya kumtimizia malengo yake ili mradi nimfurahishe kwa kumpa kile anachotaka mwisho wa siku niliamua Ku surrender tuu yaishee
20000Ivi vikoba hakukwambia ni kiasi GANI unachotakiwa kutoaa
Ina maana kwa mwezi 2000 Mara NNE kwa mwezi LAKI .20000