chama mpangala
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 514
- 710
Hili limetokea Halmashauri ya Mji Bariadi. Mkurugenzi alisababisha ajali siku ya Jumatatu ya Tarehe16 /09/2019 saa tatu usiku.
Alikuwa na NOAH ambayo iligongana uso kwa uso na Pikipiki na kupelekea kifo cha kijana aliyekuwa anaendesha Pikipiki papo hapo.
Kabla ya Ajali hiyo siku ya Alhamisi ya tarehe 12/09/2019 Idara ya utumishi ilitoa agizo kwa watumishi waliomba likizo wajaze form za Vendor kwa ajili ya malipo,watumishi walijaza na kusubiria malipo yao.
Wiki iliyofuata waliyotamka kuwa watalipa ikatokea hiyo ajali mbaya iliyosababishwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Bariadi na kupelekea kifo cha kijana.
Hvyo mpaka hivi sasa watumishi(walimu) hawajalipwa Pesa zao hivyo basi inasemekana hiyo pesa imetumika katika kughalimikia mazishi.
SINA HAKIKA ILA INASEMEKANA NA LISEMWALO LIPO KWA SABABU MPAKA SASA HAKUNA ALIYELIPWA NA WALISEMA WATALIPA MAPEMA.
JE, HII NI HAKI?
Alikuwa na NOAH ambayo iligongana uso kwa uso na Pikipiki na kupelekea kifo cha kijana aliyekuwa anaendesha Pikipiki papo hapo.
Kabla ya Ajali hiyo siku ya Alhamisi ya tarehe 12/09/2019 Idara ya utumishi ilitoa agizo kwa watumishi waliomba likizo wajaze form za Vendor kwa ajili ya malipo,watumishi walijaza na kusubiria malipo yao.
Wiki iliyofuata waliyotamka kuwa watalipa ikatokea hiyo ajali mbaya iliyosababishwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Bariadi na kupelekea kifo cha kijana.
Hvyo mpaka hivi sasa watumishi(walimu) hawajalipwa Pesa zao hivyo basi inasemekana hiyo pesa imetumika katika kughalimikia mazishi.
SINA HAKIKA ILA INASEMEKANA NA LISEMWALO LIPO KWA SABABU MPAKA SASA HAKUNA ALIYELIPWA NA WALISEMA WATALIPA MAPEMA.
JE, HII NI HAKI?