Ni Dr. Slaa, Lowasa na Prof. Mwandosya tu.

Ni Dr. Slaa, Lowasa na Prof. Mwandosya tu.

Mpitagwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2012
Posts
2,338
Reaction score
1,126
WanaJF, mimi ni mmoja ya watu walioudhiwa sana na mahakama ya rufaa pale ilipopiga chini hoja ya mgombea binafsi. Nimefanya utafiti wangu kwa muda sasa na nimegundua kuwa, katika watu wote waliopo kwenye siasa kwa sasa ni wanasiasa watatu tu ambao wanaweza kushinda 2015 wakigombea kama wagombea binafsi nao ni Dr. Slaa akigombea Karatu, Mh. Lowasa akigombea Monduli na Prof. Mwandosya akigombea Rungwe Magharibi. Wanasiasa wengine waliosalia hawana nguvu ya kushinda nje ya vyama vya siasa.
Kama unadhani wapo embu tutajie
 
yeah upo sahihi kabisa, ila kati ya hao watatu nafikiri watabakia wawili tu, yaani Dr. Slaa CDM na Lowassa CCM , kazi kwenu Watanzania kuchagua mmoja kwani kupanga ni kuchagua.
 
Eti wote wagonjwa watu kwa kuzungumzia afya za watu.Kwa hiyo muda wowote wanadanja
 
Back
Top Bottom