slimhamimu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 325
- 111
Naomba kujua ni dawa gani au sumu gani naweza weka kwenye biscut au chakula ambacho mwizi akila kesha yake afe, iwapo ataniibia kwa stail hiyo.
Ha! ha! haàaaaaaaaa! Watu wanajua kama uongo vile.Siyo siri nawachukia sana wezi, mwaka jana walivunja mlango wakaingia mpaka chumbani kwangu nilipokuwa nimelala na kubeba kila kitu, wakabeba na chupa ilikuwa na chai na maandazi wakasepa nayo
Hukusoma chemistry form two ww??Nilikuwa nawaza kwa sauti hii mbinu ya maji...
Lakini nikawa najiuliza kuwa litaulizwa swali uhusiano uliopo baina ya hiyo dawa na maji, kwa nini maji yakiwepo haiwezi kufanya kazi!!
Nikifika duka la dawa nasemaje?
Jina la dawa na kazi take!
Hahaha Mkuu umetisha...naona umekomaa "kuroga tuu"Hao wezi hawahitaji huruma ni kuwaroga tu
Unaweza kuthibitisha kuwa form two unaweza kupata uhusiano baina ya tetrachloromethane na maji?...ni form two ya nchi gani?Hukusoma chemistry form two ww??
Ni kuwaroga tu...kiukweli mm mwizi hanisumbui,
Mkuu kuna kosa la kiufundi hapo, haipaswi kuwa form two bali ni A'level; waliosoma chemistry advance wanaweza kuwa na idea kwenye masuala ya electron affirnity. Chloroform sijajua properties zake lakini nadhani ina high affirnity to water ikiwa kweli huwa inakuwa absorbed na maji. Nipo tayari kurekebishwa.Unaweza kuthibitisha kuwa form two unaweza kupata uhusiano baina ya tetrachloromethane na maji?...ni form two ya nchi gani?
mmmhVee jindalbhai shuzi yako moja tosha neutralize hii dava singizi...heheehee..
I love u.
Naona hii ya beseni la maji iko passedHuna haja ya kuchawia, tumia mbinu ya kawaida kabisa ku- overcome hilo tatizo, chukua beseni jaza maji liweke kwenye chumba unapolala, wakipuliza ile dawa yote inakwenda kwenye maji kwa hiyo wakianza mikakati ya kuvunja/kufungua milango au madirisha wewe utashtuka tu kwa kuwa dawa inakuwa haijafanya kazi, achana na ulozi mshkaji.