Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,277
- 2,933
Sometime nakuwa na wivu wa kijinga sana. Usiku wote sikulala kuna msg iliingia kwenye simu ya wife inasema "honey nakutakia usiku mwema na uniote" basi nikapaniki kwel kuangalia vizuri jina kumbe ni msusi wake wife mwajuma. Nikajiona fala nina wivu wa kijinga sana.
Mara nyingi tu zinapigwa simu usiku mkali wife anaamka anaenda kuongea sebuleni ili asiniamshe.nami of koz sina tabia za kike kusikiliza eti anaongea na nani. Huwa ananambia ni rafiki zake sometme wanampigia simu usiku mkali wampe ubuyu.
Sasa jamaa yangu mmoja anatabia za umbea anadai wife anatembea na jamaa mmoja hivi pale mtaani. Kumbe hamna lolote waswahili tu wakiona mnaishi vizuri hawakosi maneno maneno.
Mwanzon nlianza kuona wivu lakin baadaye nikaona aargh maneno tu. Unajua si wengine tukipenda tunapenda kweli kweli asikwambie mtu. Jana nikawa naongea na wife namshauri ili watu wasitugombanishe basi ajaribu kunitafutia hata limbwata aniwekee. Niwe sisikii sioni zaid yake.
Sasa najiuliza limbwata ya wapi ni nzuri?kuna watu wanasema ya tabora,wengine tanga na kunamwingine anasema ya pemba au mombasa na lamu. Mi sijui lakini ndo nahangaika hiv kuuliza kama kuna mtu kawahi wekewa au mwekea mwanaume. Ila isiwe ya kunifanya niwe mwehu.
Lengo langu niishi kwa amani nisione mapungufu yake. Maana binadamu tuna mapungufu. Pia sitak kufa kwa kihoro nampenda mke wangu.nlipata shida sana kumpata watu hawajui tu.
Nasikia ukiwekewa limbwata unakuwa na amani sana kwenye uhusiano. Nami nataka niwe na amani nichape kazi tu na si kumhisi hisi vibaya au kusikia maneno ya wachongefu.
Mimi binafsi sitak hata nitamani mwanamke mwingine. Sitak kabisa na siku ilitokea nikamsifia dada mmoja ilibidi nirudi home kumwomba msamaha wife kuwa nimekosea sana huko barabarani.
Nashukuru amefuata ushaur wangu wa kuniwekea limbwata asub yote hii anapiga simu kwa wenzie kuulizia atapata wapi limbwata nzuri. Nimewambia tu aniwekee wakat sijui.
Mara nyingi tu zinapigwa simu usiku mkali wife anaamka anaenda kuongea sebuleni ili asiniamshe.nami of koz sina tabia za kike kusikiliza eti anaongea na nani. Huwa ananambia ni rafiki zake sometme wanampigia simu usiku mkali wampe ubuyu.
Sasa jamaa yangu mmoja anatabia za umbea anadai wife anatembea na jamaa mmoja hivi pale mtaani. Kumbe hamna lolote waswahili tu wakiona mnaishi vizuri hawakosi maneno maneno.
Mwanzon nlianza kuona wivu lakin baadaye nikaona aargh maneno tu. Unajua si wengine tukipenda tunapenda kweli kweli asikwambie mtu. Jana nikawa naongea na wife namshauri ili watu wasitugombanishe basi ajaribu kunitafutia hata limbwata aniwekee. Niwe sisikii sioni zaid yake.
Sasa najiuliza limbwata ya wapi ni nzuri?kuna watu wanasema ya tabora,wengine tanga na kunamwingine anasema ya pemba au mombasa na lamu. Mi sijui lakini ndo nahangaika hiv kuuliza kama kuna mtu kawahi wekewa au mwekea mwanaume. Ila isiwe ya kunifanya niwe mwehu.
Lengo langu niishi kwa amani nisione mapungufu yake. Maana binadamu tuna mapungufu. Pia sitak kufa kwa kihoro nampenda mke wangu.nlipata shida sana kumpata watu hawajui tu.
Nasikia ukiwekewa limbwata unakuwa na amani sana kwenye uhusiano. Nami nataka niwe na amani nichape kazi tu na si kumhisi hisi vibaya au kusikia maneno ya wachongefu.
Mimi binafsi sitak hata nitamani mwanamke mwingine. Sitak kabisa na siku ilitokea nikamsifia dada mmoja ilibidi nirudi home kumwomba msamaha wife kuwa nimekosea sana huko barabarani.
Nashukuru amefuata ushaur wangu wa kuniwekea limbwata asub yote hii anapiga simu kwa wenzie kuulizia atapata wapi limbwata nzuri. Nimewambia tu aniwekee wakat sijui.