Hili suala la mkulima bado ufumbuzi wake uko mbali sana. Kwa mfano Waziri amesema ongezeko kubwa la inflation lipo kwenye chakula, moja ya mikakati ambayo inafanywa kupunguza hali hiyo ni pamoja na kuongeza uzalishaji pamoja na kutoa vibali vya wafanya biashara kuagiza kutoka nje ili kuimarisha supply ya vyakula na hivyo kupunguza bei. Hii imeangaliwa kwa upande mmoja tu wa mlaji ambaye yuko mjini, wale wazee wanaoteseka kule vijijini kulima wakizani bei zitapanda ili wapate kulipa ada za watoto shule kuvaa, na hata kuburudika sasa matumaini yao yanakwisha. Bei ya mazao yao itapungua bila kujali gharama za uzalishaji kama bembe jeo, madawa, gharana za kilimo chenyewe n.k
Ingekuwa bora pia kama serikali inaweka mfuko wa kuwasupport (subsidy) vinginevyo hatuwezi kumaliza umaskini hwich is a rural phenomena.