Ni aina gani nzuri ya video camera.

Ni aina gani nzuri ya video camera.

Kadalajbk

Member
Joined
Jul 15, 2013
Posts
34
Reaction score
6
Wanajamvi,naomba kujuzwa aina nzuri ya video camera kwa matumizi ya shooting mbalimbali mf..muziki,kwaya,harusi.nk.
 
Kaka camera nzuri ni Canon 5DII na Canon 5DIII umekosa sana Canon 6D,hizo zingine ni very expensive hata hizi body tu without kit lens ni kati ya USD 3500 -4000 na afadhali kama una jamaa mamton umwagize hapa Bongo hazipo na hata zikija wanauza bei kubwa zaidi,mwaka jana kuna duka walikuwa wanauza Canon DII 9 milioni.
 
Wengi wanatumia canon 7d

Ndio wengi wanatumia lakini bado kwa video kiwango kipo chini sana sana angalau kwa picha mgando,hapa ni Canon 5D II au Canon 5DIII ,zingine zaidi ya hapo huenda uwe na biashara kubwa au uwe na uwezo sana,sababu hizi nilizozitaja bei ni kama kati ya USD 3400 hadi 4000USD nani body tu bila kit lens .
 
Ndio wengi wanatumia lakini bado kwa video kiwango kipo chini sana sana angalau kwa picha mgando,hapa ni Canon 5D II au Canon 5DIII ,zingine zaidi ya hapo huenda uwe na biashara kubwa au uwe na uwezo sana,sababu hizi nilizozitaja bei ni kama kati ya USD 3400 hadi 4000USD nani body tu bila kit lens .

Upo sawa ila nimetaja 7D bei yke ipo chini tofauti na hizo nyngne ila kama yupo vzurii kifedha achukue 5D.
 
Asante mkuu...

Video cameras ziko katika formats kadhaa, kuna zinazotumia tape kama Mini DV, Mini DV HD, DVCAM n.k. na pia kuna zinazotumia Memory Card au Hard Disk drive. Digital Cameras kama Canon EOS (5D, 7D) etc...zinapendelewa na wengi hivi sasa lakini haimaanishi kwamba hakuna aina nyingine ambazo ni bora pia. Ukiingia websites za Amazon au Ebay unaweza kupata professional cameras nyingi na kwa bei utakayomodu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom