ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,084
- 84,978
Leo hii Kuna foleni kubwa inayokera na kuchelewesha biashara kati ya Dar-Tunduma na Dar-Dom-Mwanza/Rwanda lakini Bado Serikali inajibuta vita Haina plan Wala timeframe ya kujenga hiyo Barabara.
Nakumbuka Mzee Kinana Aliwahi sema Barabara hizo zinafaa Kujengwa Kwa njia 8 yaani 4 Kila upande.Soma zaidi Kinana: Wakati umefika sasa Serikali kujenga Barabara ya Dar es Salaam - Tunduma kuwa njia 8 | JamiiForums Kinana: Wakati umefika sasa Serikali kujenga Barabara ya Dar es Salaam - Tunduma kuwa njia 8
Cha kushangaza Nchi ndogo ya Burkina Faso imeamua kuchukua maamuzi magumu ya kujenga Barabara ya njia 8 inayounganisha Mimi yake mikuu ya biashara na Uchumi Kwa fedha za ndani.
Kinachotofautisha Tanzania na Burkina Faso ni uthubutu.Sijui ugumu unatoka wapi wakati tayari tulishaona uthubutu wa hayati Magufuli kwenye bwawa na sgr,nyie WA saizi mnafeli wapi? Ouaga-Bobo Corridor: A 200 Billion FCFA Self-Funded 8-Lane Highway to Redefine Burkinabè Hinterland Flows – www.logistafrica.com Ouaga-Bobo Corridor: A 200 Billion FCFA Self-Funded 8-Lane Highway to Redefine Burkinabè Hinterland Flows – www.logistafrica.com
Sio tuu kwamba ni aibu lakini ni fedheha Hadi Leo hii eti tuna Mikoa takribani 15 haijaunganishwa kwa Barabara za Bararabara za lami.
My Take
Narudia tena kama hofu yenu ni pesa undeni Mfuko maalumu wa Miundombinu ambapo pesa ya Madini iende kufadhili ujenzi wake.
Kiufupi Barabara zote Kuu zinatakiwa kuwa njia 4,6 au 8 kutegemea na aina ya Barabara ila sio hizi za njia 1 tunazojenga Kwa kusuasua.
Nakumbuka Mzee Kinana Aliwahi sema Barabara hizo zinafaa Kujengwa Kwa njia 8 yaani 4 Kila upande.Soma zaidi Kinana: Wakati umefika sasa Serikali kujenga Barabara ya Dar es Salaam - Tunduma kuwa njia 8 | JamiiForums Kinana: Wakati umefika sasa Serikali kujenga Barabara ya Dar es Salaam - Tunduma kuwa njia 8
Cha kushangaza Nchi ndogo ya Burkina Faso imeamua kuchukua maamuzi magumu ya kujenga Barabara ya njia 8 inayounganisha Mimi yake mikuu ya biashara na Uchumi Kwa fedha za ndani.
Kinachotofautisha Tanzania na Burkina Faso ni uthubutu.Sijui ugumu unatoka wapi wakati tayari tulishaona uthubutu wa hayati Magufuli kwenye bwawa na sgr,nyie WA saizi mnafeli wapi? Ouaga-Bobo Corridor: A 200 Billion FCFA Self-Funded 8-Lane Highway to Redefine Burkinabè Hinterland Flows – www.logistafrica.com Ouaga-Bobo Corridor: A 200 Billion FCFA Self-Funded 8-Lane Highway to Redefine Burkinabè Hinterland Flows – www.logistafrica.com
Sio tuu kwamba ni aibu lakini ni fedheha Hadi Leo hii eti tuna Mikoa takribani 15 haijaunganishwa kwa Barabara za Bararabara za lami.
My Take
Narudia tena kama hofu yenu ni pesa undeni Mfuko maalumu wa Miundombinu ambapo pesa ya Madini iende kufadhili ujenzi wake.
Kiufupi Barabara zote Kuu zinatakiwa kuwa njia 4,6 au 8 kutegemea na aina ya Barabara ila sio hizi za njia 1 tunazojenga Kwa kusuasua.