Ni Aibu kubwa kushindana wakati mshapewa ushindi wa bure

Kule Kwetu

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
3,157
1,890
Hivi inakuaje pale Chama tawala,kilichotawala kwa miaka zaidi ya 50 kinapopewa go ahead na chama kuu pinzani (kilichoshinda kihalali) kujichukulia ushindi ila bado hakijiamini kabisa?

Mnapeleka:-

-Jeshi la Wananchi (JWTZ)

-FFU

-Jeshi la maji (Marine Army)

-Polisi wengi wa usalama wa raia na mali zao

-Vifaru viingi na Magari ya polisi meengi.

Wanajeshi na polisi wote hao mliowapeleka wiki mbili kabla ya tukio la baadaye mliwalisha,mliwanywesha n.k

Hivii:-

-Kuna Vita au Tumevamiwa?
-Hiyo hela yoote ya kuwaaccomodate hao watu si ni KODI ZETU?

Tumieni Akili na Mtuhurumieni wananchi wa Tanzania.

Si mmepewa ushindi? Mnaweweseka nini?
 
daaaaa,mbaya sana hii,kuna watu wema muda si mrefu watakuwa ukimbizini,madaraka ni kitu kibaya mno,eeeeeh mungu tusaidieeeeeee
 
Mwizi siku zote huwa na wasiwasi akishaiba Mali za watu
Bado wana wasiwasi kama dili limefanikiwa kihivyo
 
Kiukweli Tanzania yetu bado ipo nyuma kidemocrasia, huku ni kuipga dana dana democrasia, ivi unafuta matokeo ya uchaguz uliogharim mamilion ya mapesa kisa mgombea mmoja amejitangaza kabla ya tume? Je ikitokea mgombea mwengne wa chama kinachoshilik uchaguz wa marudio akajitangaza iwe ameshnda kwel au hajashnda inamaaana watafuta tena mateo ya uchaguz huo???? Kiukweli mi nnawas was na serikal za ccm juu ya democrasia, nahic wanaipractise demicrasy kwa kuogopa kukosa misaada. Sithan km itatokea cku wataweza kukiachia chama chochote kiti cha urais ata km chama hko kimeshnda kwa kura za halali
 
Back
Top Bottom