Ni afadhali mara mia Yanga ipangwe na Mamelodi Sundowns kuliko ASEC Mimosas

Si umeleta historia sasa kivipi tusiizungumzie Enyimba kwenye haya mashindano? Nikwamba mpira wa sasa ni uwekezaji mkubwa kiasi kwamba mwenye akili timamu hashangai yanga kuingia robo
iyo Historia ulikua Unaletewa wew sio Enyimba maana unalazimisha kukaa kiti kimoja Na Simba kwenye hii michuano kubali tu aliyekutangaliua kakutangulia tu ata ukichukua Rekodi za Msimu huu bado nimekuzidi kama unabisha sema tukuweke data apa
 
ASEC inawajua vizuri sana wachezaji wa Yanga maana imewalea na kuwakuza kisoka kisha wakakulia hapo na mazoezini wamekabana sana na kocha Julio anawajua vizuri mno.

Aziz Ki, Pacome, Yao Yao bila kumsahau Guede, hawa wote ni zao la kocha Julio hapo ASEC pia hao vijana wake sidhani kama wanaweza kumsaliti au kumuumiza mwalimu wao wa zamani aliyewatoa kimaisha.

Yanga akipangwa na Mamelod ni salama zaidi sababu baada ya Motsepe kuinunua Mamelodi, Kocha wa kwanza alikuwa Gamond na ndiye muasisi wa soka safi mnalo liona hapo kwa Wabrazil wa South maarufu kama "Shoe shine and amapiano", yaani kubrashi viatu kwa mpira huku ukiumiliki na kuuchezea utakavy
Msije kusema sikuwaambia.
Asec hana timu ya kumfunga Yanga na ukiona Yanga kapangiwa na Asec jua Yanga anaingia nusu.
 
ni mbovu kwa sababu umeanza kuiangalia juzi ilivyocheza na simba hujui kuwa imeondokewa na striker wake SANKARA KARAMOKO ambaye licha ya kutokuwepo ila anaongoza kwa magori mpaka sasa
Hawana uzuri wowote wagumu kwenu.
 
Point iliyopo kwa wenye akili timamu na tulioucheza mpira ni je kwanamna ipi simba ataivuka hii hatua ambao inampa tabu kwa miaka mingi? Na je Yanga nae kivipi ataingia nusu fainal?
Unaizungumzia Simba ambaye hii ni mara ya tano kuingia hii hatua,je kwa Yanga ambayo hii hatuna ni ya kwanza zaidi ya miaka 30 imepita
 
Unaizungumzia Simba ambaye hii ni mara ya tano kuingia hii hatua,je kwa Yanga ambayo hii hatuna ni ya kwanza zaidi ya miaka 30 imepita
Huyo yanga akiingia nusu fainal na simba akaishia robo yupi atakuwa na rekodi kubwa kuliko mwenzie?
 
iyo Historia ulikua Unaletewa wew sio Enyimba maana unalazimisha kukaa kiti kimoja Na Simba kwenye hii michuano kubali tu aliyekutangaliua kakutangulia tu ata ukichukua Rekodi za Msimu huu bado nimekuzidi kama unabisha sema tukuweke data apa
Kuchukua rekodi za mashindano yote ambazo timu husika zinashiriki au kuchukua rekodi zipi?
 
ASEC inawajua vizuri sana wachezaji wa Yanga maana imewalea na kuwakuza kisoka kisha wakakulia hapo na mazoezini wamekabana sana na kocha Julio anawajua vizuri mno.

Aziz Ki, Pacome, Yao Yao bila kumsahau Guede, hawa wote ni zao la kocha Julio hapo ASEC pia hao vijana wake sidhani kama wanaweza kumsaliti au kumuumiza mwalimu wao wa zamani aliyewatoa kimaisha.

Yanga akipangwa na Mamelod ni salama zaidi sababu baada ya Motsepe kuinunua Mamelodi, Kocha wa kwanza alikuwa Gamond na ndiye muasisi wa soka safi mnalo liona hapo kwa Wabrazil wa South maarufu kama "Shoe shine and amapiano", yaani kubrashi viatu kwa mpira huku ukiumiliki na kuuchezea utakavyo.

Msije kusema sikuwaambia.
Sawa Genta...
 
Waambie ukiingia robo lazima ukutane na wanalijua soka😍 Simba yoyote anajitupa uwanjani. Kuvuka au kutovuka ni DK 180. Huwezi kuwa Mkubwa Kwa kucheza na kina Marumo😁
Sorry lakini mpira wa miguu ni mchezo wa wanaume kwahiyo siwezi kubishana na wewe
 
Yanga akikutana na mamelodi itakuwa mechi bora wote wanajua kutawala mchezo na yanga akiwa Kwenye peak anamfunga yoyote , 2001 walikutana mwanza mchezo ukaisha kwa 3-3 marudianio Pretoria mamelodi akapita kwa 3-2 .
 
Kama hapa
IMG-20240303-WA0038.jpg
 
Back
Top Bottom