Huwezi kuingia vitani huku unachagua opponent, yeyote na ajeHawawezi kukuelewa
Huwezi kuingia vitani huku unachagua opponent, yeyote na ajeHawawezi kukuelewa
iyo Historia ulikua Unaletewa wew sio Enyimba maana unalazimisha kukaa kiti kimoja Na Simba kwenye hii michuano kubali tu aliyekutangaliua kakutangulia tu ata ukichukua Rekodi za Msimu huu bado nimekuzidi kama unabisha sema tukuweke data apaSi umeleta historia sasa kivipi tusiizungumzie Enyimba kwenye haya mashindano? Nikwamba mpira wa sasa ni uwekezaji mkubwa kiasi kwamba mwenye akili timamu hashangai yanga kuingia robo
Mkuu ndo maana tukasema huku jukwaa la michezo upo mweupe,kwani wote wanaocheza club bingwa ni mabingwa tu wa ligi?Hivi Simba ni bingwa wa ligi gani?
Asec hana timu ya kumfunga Yanga na ukiona Yanga kapangiwa na Asec jua Yanga anaingia nusu.ASEC inawajua vizuri sana wachezaji wa Yanga maana imewalea na kuwakuza kisoka kisha wakakulia hapo na mazoezini wamekabana sana na kocha Julio anawajua vizuri mno.
Aziz Ki, Pacome, Yao Yao bila kumsahau Guede, hawa wote ni zao la kocha Julio hapo ASEC pia hao vijana wake sidhani kama wanaweza kumsaliti au kumuumiza mwalimu wao wa zamani aliyewatoa kimaisha.
Yanga akipangwa na Mamelod ni salama zaidi sababu baada ya Motsepe kuinunua Mamelodi, Kocha wa kwanza alikuwa Gamond na ndiye muasisi wa soka safi mnalo liona hapo kwa Wabrazil wa South maarufu kama "Shoe shine and amapiano", yaani kubrashi viatu kwa mpira huku ukiumiliki na kuuchezea utakavy
Msije kusema sikuwaambia.
Hawana uzuri wowote wagumu kwenu.ni mbovu kwa sababu umeanza kuiangalia juzi ilivyocheza na simba hujui kuwa imeondokewa na striker wake SANKARA KARAMOKO ambaye licha ya kutokuwepo ila anaongoza kwa magori mpaka sasa
Unaizungumzia Simba ambaye hii ni mara ya tano kuingia hii hatua,je kwa Yanga ambayo hii hatuna ni ya kwanza zaidi ya miaka 30 imepitaPoint iliyopo kwa wenye akili timamu na tulioucheza mpira ni je kwanamna ipi simba ataivuka hii hatua ambao inampa tabu kwa miaka mingi? Na je Yanga nae kivipi ataingia nusu fainal?
Asec, Galaxy, Simba na Wydad lilikuwa kundi la wabovu....ukilinganisha na hayo mengine...Asec na Galaxy wote ni wabovu tu.
Unafeli sana mwanachi sasa utapewaje al ahly wakati mulikuwa kundi moja?
Petro mpaka ameifunga timu ya tunisia ujue wale jamaa ni hatari, ila all in all yanga lazima afike finalYanga akipewa asec au hata wale petro luanda ana nafasi kubwa sana ya kwenda nusu fainal
Waambie ukiingia robo lazima ukutane na wanalijua soka😍 Simba yoyote anajitupa uwanjani. Kuvuka au kutovuka ni DK 180. Huwezi kuwa Mkubwa Kwa kucheza na kina Marumo😁Mim nipe yoyote mzee wew ambaye unachagua chagua mara sjui Asec Wew kama Mwamba Subiri CAF watakudondesha Nani Usichague Chague Timu pale Hamna Polisi Tanzania
Huyo yanga akiingia nusu fainal na simba akaishia robo yupi atakuwa na rekodi kubwa kuliko mwenzie?Unaizungumzia Simba ambaye hii ni mara ya tano kuingia hii hatua,je kwa Yanga ambayo hii hatuna ni ya kwanza zaidi ya miaka 30 imepita
Kuchukua rekodi za mashindano yote ambazo timu husika zinashiriki au kuchukua rekodi zipi?iyo Historia ulikua Unaletewa wew sio Enyimba maana unalazimisha kukaa kiti kimoja Na Simba kwenye hii michuano kubali tu aliyekutangaliua kakutangulia tu ata ukichukua Rekodi za Msimu huu bado nimekuzidi kama unabisha sema tukuweke data apa
Sawa Genta...ASEC inawajua vizuri sana wachezaji wa Yanga maana imewalea na kuwakuza kisoka kisha wakakulia hapo na mazoezini wamekabana sana na kocha Julio anawajua vizuri mno.
Aziz Ki, Pacome, Yao Yao bila kumsahau Guede, hawa wote ni zao la kocha Julio hapo ASEC pia hao vijana wake sidhani kama wanaweza kumsaliti au kumuumiza mwalimu wao wa zamani aliyewatoa kimaisha.
Yanga akipangwa na Mamelod ni salama zaidi sababu baada ya Motsepe kuinunua Mamelodi, Kocha wa kwanza alikuwa Gamond na ndiye muasisi wa soka safi mnalo liona hapo kwa Wabrazil wa South maarufu kama "Shoe shine and amapiano", yaani kubrashi viatu kwa mpira huku ukiumiliki na kuuchezea utakavyo.
Msije kusema sikuwaambia.
Sorry lakini mpira wa miguu ni mchezo wa wanaume kwahiyo siwezi kubishana na weweWaambie ukiingia robo lazima ukutane na wanalijua soka😍 Simba yoyote anajitupa uwanjani. Kuvuka au kutovuka ni DK 180. Huwezi kuwa Mkubwa Kwa kucheza na kina Marumo😁
Ingia kwanza nusu, siyo kuleta hapa ange.., ange... ,ange...Huyo yanga akiingia nusu fainal na simba akaishia robo yupi atakuwa na rekodi kubwa kuliko mwenzie?
Eti ni bingwa wa robo fainaliHivi Simba ni bingwa wa ligi gani?