Wadau,
Hivi NHIF walishaita watu mwenye usaili uliofanyika mwakajana mwezi wa tatu..?
Namaanisha ule usaili(written interview)uliofanyika pale Duce kwenye positions mbalimbali ikiwemo Compliance Officer,Quality Assurance Officer,Membership Officer, IT personnel n.k
Mwenye taarifa anijuze plz
Hivi NHIF walishaita watu mwenye usaili uliofanyika mwakajana mwezi wa tatu..?
Namaanisha ule usaili(written interview)uliofanyika pale Duce kwenye positions mbalimbali ikiwemo Compliance Officer,Quality Assurance Officer,Membership Officer, IT personnel n.k
Mwenye taarifa anijuze plz