Ngwear ft Fid Q: CNN

Ngwear ft Fid Q: CNN

Kendrick Rama

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2019
Posts
409
Reaction score
458
kwa mara ya Kwanza nilipata kushuhudia fid q au ngosha akifunikwa kwenye colabo la hip hop,
kwa kujiamini ngwea alimuweka verse ya kwanza fid hku akiamini atafanya comeback ya uhakika na ndio kilichotokea.
tujikumbushe ngwea mara nyingi alikuwa hna time ya kuandika mistari, yeye anatemea freestyle booth na mambo hukaa sawia,
CNN ngoma ya karne na kama unakajua hta kamstari kamoja tupia humu .

r.I.p Albert Mangwea
 
na hera nyingi mpaka natamani jiteka, being watu wapo king stone ka Jamaica

ngwea
 
Tunajikinga ingawa wanamaind kuzaa na sie,
Wana thamani ya Diamond na tunawabeba 4free
Fid alipata kusema kuwa alipopewa beat ya CNN, aliandika verse kali akaingiza vocal akajua amemaliza, alipokuja kusikia verse ya Ngwea ikabidi aombe verse yake ifutwe ili ajipange kuandika upya.

CNN
C- CEYDOU
N- AND
N- NGWEAH
 
Tunajikinga ingawa wanamaind kuzaa na sie,
Wana thamani ya Diamond na tunawabeba 4free
Fid alipata kusema kuwa alipopewa beat ya CNN, aliandika verse kali akaingiza vocal akajua amemaliza, alipokuja kusikia verse ya Ngwea ikabidi aombe verse yake ifutwe ili ajipange kuandika upya.

CNN
C- CEYDOU
N- AND
N- NGWEAH
halafu ngwea alifloo simple tuh
 
nalenga mwezi na jua, hata nikikosa ntatua, juu ya nyota na mambo yatakuwa shkopa

fid q
 
Leo ni mwendo wa gambe na malavidavi, tuna warembo wakali matata kam flavian.

ngwea
 
Hili ngoma ni hatari sana hii nadhani ilikua 2009 au 2010 ukipata mziki mkubwa beat linanonga sana yani...enzi hizo huku inapigwa stimu zimelipiwa, mara CNN daah ilikua safi sana yani...
 
Tunajikinga ingawa wanamaind kuzaa na sie,
Wana thamani ya Diamond na tunawabeba 4free
Fid alipata kusema kuwa alipopewa beat ya CNN, aliandika verse kali akaingiza vocal akajua amemaliza, alipokuja kusikia verse ya Ngwea ikabidi aombe verse yake ifutwe ili ajipange kuandika upya.

CNN
C- CEYDOU
N- AND
N- NGWEAH
Mkuu sorry Ceydou ndo nani?
 
Hili ngoma ni hatari sana hii nadhani ilikua 2009 au 2010 ukipata mziki mkubwa beat linanonga sana yani...enzi hizo huku inapigwa stimu zimelipiwa, mara CNN daah ilikua safi sana yani...
Yeees! Mule mule 2009_2010
 
Back
Top Bottom